• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 12:26 PM

Zari asema hajaingiza mdudu kwa penzi la Mondi na Zuchu

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Zarinah Hassan ambaye wengi humuita Zari Hassan huku mwenyewe akipendelea kujiita Zari the Boss...

Jinsi wahubiri wanavyovuka mipaka kwa jina la kukemea pepo

NA WANDERI KAMAU KUIBUKA kwa video ya mhubiri Danson Gichuhi almaarufu 'Askofu Yohanna' akimpapasa mwanamke kwa njia tata akidai...

Polisi wafichua sababu nyeti za kuua washukiwa

NA MWANGI MUIRURI VIKOSI vya polisi nchini mara kwa mara hushutumiwa kwa kuwekeza bidii za utekelezaji sheria katika njia ya mkato ya...

Hofu biashara zenye hatari ya milipuko zikitapakaa mitaani

NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa Wahandisi wa Upangaji Miji ya Kaunti (TCPAK) umetoa tahadhari kwamba wananchi katika maeneo yao ya makazi...

Magari ya umeme yanapunguza uharibifu wa mazingira na vifo, ripoti ya WHO yaonyesha

NA PAULINE ONGAJI NYUMBANI kwake katika mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi, Bw Chris*, anajiandaa kuelekea kazini, ambapo anahudumu...

Uwezekano wa handisheki ya Ruto na Raila kuhusu AU bado wazua wasiwasi Mlimani

Na MWANGI MUIRURI LICHA ya eneo la Mlima Kenya kung’ang’ania kwamba Rais William Ruto asiwahi kuthubutu kujiingiza katika handisheki...

Alipata Ukimwi akifanya kazi Juba, sasa anahamasisha umma kujitunza na kukabili ueneaji

NA PETER CHANGTOEK MJA anapopimwa na kupatikana na virusi vya Ukimwi, aghalabu hukabiliwa na kiwewe asijue la kufanya. Ndiyo hali...

Kinachosababisha uvimbe kwenye sehemu za siri za akina dada

NA PAULINE ONGAJI Kama mwanamke, kuna uwezekano wa wakati mmoja kukumbwa na uvimbe unaojitokeza kila mara kwenye sehemu za siri. Ni jambo...

Wakenya watakuwa wakisifu na kutukana nani ili wachaguliwe 2027 Raila akienda AU?

NA MWANGI MUIRURI IKIWA kuna kitu kimewachanganya wanasiasa wa Kenya katika harakati za Raila Odinga kuwania kiti cha mwenyekiti wa tume...

Presha Gachagua aunge mkono Raila kuwa mwenyekiti wa AU

NA MWANGI MUIRURI SHINIKIZO zimezidi kumwandama Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aunge mkono hadharani azima ya Raila Odinga kuteuliwa...

Charlene Ruto: Nataka mume atakayenisaidia kuhudumia vijana

FRIDAH OKACHI na MWANGI MUIRURI BINTIYE Rais William Ruto, Charlene Ruto ametangaza kwamba anatamani sana kupata mume atakayemsaidia...

Kijana anayeuguza majeraha baada ya kuvizia mke wa polisi 

NA MWANGI MUIRURI  POLISI katika Kaunti ya Embu wanachunguza kisa cha mnamo Jumapili, Februari 25, 2024 asubuhi ambapo mwanamume wa miaka...