• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 1:47 PM

Jinsi himaya ya ulanguzi wa bangi ilivyosambaratishwa akasukumwa jela miaka 10

NA KALUME KAZUNGU KWA zaidi ya miaka sita, Lucas Opondo Muguna, 45, amekuwa akiendesha biashara yake ya ulanguzi wa dawa za kulevya...

Vijana waliotaabika bila kazi walivyojijengea viota vya ajira kutoka kwa uyoga

NA LABAAN SHABAAN VIJANA waliotaabika bila kazi mjini Bomet wamepata afueni baada ya shamba la utafiti wa mimea kufanywa njia ya kutega...

Mashabiki hawapati picha kabisa Bensoul kutema Noni Gathoni na kuchukua beste yake Cindy K

NA SINDA MATIKO WASWAHILI wanasema kikulacho ki nguoni mwako. Ni methali ambayo staa wa zamani wa Sol Generation Bensoul anaifahamu...

Shughuli ya upanzi imekuwa rahisi tangu agundue mtambo huu

NA RICHARD MAOSI HUU ni msimu wa kupanda na wakulima wengi kutoka Kaskazini na kusini mwa Bonde la Ufa wameanza kuandaa mashamba yao kwa...

Kilio cha mwanamke mgonjwa aliyekwama Saudi Arabia

NA OSCAR KAKAI MWISHONI mwa mwaka wa 2021, Emily Cherop Kaptuwai mwenye umri wa miaka 27, alipanga virago vyake na kutoka kwenye kijiji...

Upungufu wa vifaranga nchini watishia wakulima

NA SAMMY WAWERU HUKU Sekta ya Kilimo ikikadiriwa kuchangia asilimia 25 ya ukuaji wa uchumi (GDP), ufugaji kuku unawakilisha asilimia 30...

Vitunguu, dhahabu ambayo bei yake sasa haikamatiki

NA SAMMY WAWERU  KITUNGUU ni kati ya viungo vya mapishi vinavyotumika kwa wingi katika kila boma nchini.  Madhumuni yake yakiwa ni...

Guardian Angel: Muziki hauna utajiri wa haraka 

NA SINDA MATIKO MSANII wa injili Guardian Angel kadai kuwa, muziki sio uwekezaji sahihi kwa mtu anayepania kutajirika haraka. Angel...

Mhudumu bodaboda anayeendesha pikipiki kwa madoido kuvutia wateja 

NA KALUME KAZUNGU AMANI Jeremiah Yaa ni mhudumu wa boda boda ambaye amefanya kazi hiyo kwa miaka saba sasa. Yaa,29, ambaye ni baba wa...

Maombi ya saa moja yaliyomfanya Omosh akaacha pombe na kuokoka 

NA MWANGI MUIRURI MUIGIZAJI wa zamani Joseph Kinuthia almaarufu Omosh, ameelezea jinsi Mungu alivyomwongelesha akimuahidi kumsaidia...

Peter Kenneth ‘aoga’ na kurejea sokoni

NA MWANGI MUIRURI  ALIYEKUWA mwaniaji wa urais 2013 Bw Peter Kenneth amevunja kimya chake, zaidi ya mwaka mmoja na nusu tangu aonekane...

Mayonde adai kushindwa kuingiza pesa kimuziki ndio sababu ya ukimya wake

NA SINDA MATIKO HIVI unamkumbuka Mayonde? Yule mrembo aliyetuangishia fataki nzito 'Nairobi' yapata miaka mitatu iliyopita. Baada ya...