• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:55 PM

Charlene Ruto ateuliwa balozi wa damu baada ya kunyamazia suala la ikiwa Daddy Owen ni wake damu damu

NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha, amemteua bintiye Rais William Ruto, Charlene Ruto, kuwa Balozi wa Damu...

Mjue seneta Joe Nyutu anayemponda Gachagua Mlimani

NA MWANGI MUIRURI SENETA wa Murang’a Joe Nyutu ambaye kwa sasa amegeuka kuwa jenerali wa kikosi cha kumponda Naibu Rais Rigathi...

Mwanafunzi wa sanduku tupu aliyezoa B+ apata mfadhili

NA GEORGE ODIWUOR LEVIS Otieno aligonga vichwa vya habari mwaka 2020 aliporipoti katika Shule ya Upili ya Kanga, kaunti ya Migori...

Wajawazito waambiwa kuna Sh5,000 za bure!

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Mathioya Edwin Mugo amezindua mradi wa kumtuza kila mwanamke mjamzito katika eneo lake Sh5,000 kama...

Wabunge waombwa kukataa kupitisha ushuru mpya kwa mapato ya wakulima

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa vyama vya wakulima wa mazao mbalimbali nchini wamewataka wabunge kupinga aina mpya ya ushuru wa mapato...

Mwanamke anayeandamwa na kesi za mauaji zinazohusu ‘penzi kwa wazungu’

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Milimani mnamo Jumatano iliamuru polisi wawasilishe ripoti ikiwa mwanamke raia wa Rwanda anayeshtakiwa...

Uchunguzi kuhusu mshukiwa wa mauaji ya Starlet Wahu wakamilika

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO waliokuwa wakipeleleza kesi kuhusu mshukiwa mkuu wa mauaji ya kikatili ya marehemu Starlet Wahu, Bw John...

Sababu zilizofanya Lizzie Wanyoike kukimbilia maisha ya ndoa

NA MWANGI MUIRURI KATIKA simulizi ya kusisimua kuhusu maisha yake ya ujana, marehemu Lizzie Wanyoike lau angeishi muda kidogo tu zaidi,...

Jinsi Lizzie Wanyoike alivyojizolea ukwasi kutoka mshahara wa Sh900 hadi bilionea

NA MWANGI MUIRURI SAFARI ya mwanzilishi wa Nairobi Institute of Technology and Business Studies (NIT-BS) marehemu Lizzie Wanyoike...

Ardhi: Wanakijiji wa Sofia Bona hatarini kufurushwa na NTSA

NA LUCY MKANYIKA WAKAZI wa kijiji cha Sofia Bona, katika eneo la Voi, Kaunti ya Taita Taveta wanaishi kwa hofu ya kufurushwa kutoka kwa...

Lizzie Wanyoike kuzikwa Gatanga kwa mumewe mnamo Januari 23

NA MWANGI MUIRURI MAREHEMU Lizzie Wanyoike ambaye ni mwanzilishi wa Nairobi Institute of Technology and Business Studies, aliyeaga dunia...

Babu Owino amfagilia Stivo Simple Boy akipendezwa na bongo lake la biashara

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemtunuka sifa msanii na mwanamuziki Stivo Simple Boy akionekana kufurahishwa...