• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

Talanta Hela ya Kenya yanyakua Kombe la Costa Daurada

NA TOTO AREGE akiwa BARCELONA, UHISPANIA TIMU ya wavulana wa umri wa chini ya miaka 19 ya Talanta Hela ya Kenya ndio mabingwa wa toleo...

Okumbi amwaga sifa kwa timu za Talanta Hela

NA TOTO AREGE akiwa BARCELONA, UHISPANIA TIMU za Talanta Hela za wavulana na wasichana wa chini ya umri wa miaka 19, zitaipeleka Kenya...

Staa wa Brazil, Robinho atupwa jela miaka tisa kwa tamaa ya visketi

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO ALIYEKUWA fowadi wa Manchester City na timu ya taifa ya Brazil, Robson de Souza almaarufu Robinho, hatimaye...

Ufaransa, Ujerumani kutoana jasho kirafiki

NA MASHIRIKA LYON, Ufaransa MIAMBA Ufaransa na Ujerumani watafufua uhasama ugani Groupama kwenye mechi ya kupimana nguvu ambayo wenyeji...

Real Madrid yashtaki refarii kupuuza visa vya kiubaguzi dhidi yao

NA MASHIRIKA MADRID, Uingereza KLABU ya Real Madrid imewasilisha kesi dhidi ya refarii aliyechezesha mechi kati yao na Osasuna, ikidai...

Mashabiki wa Shabana FC wamlilia Mungu asaidie isishushwe ngazi

NA WYCLIFFE NYABERI MASHABIKI wa Shabana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Soka Nchini (FKF-PL) sasa wamemgeukia Mungu kumwomba asaidie klabu...

Amina amdengua Apew mashindano ya Afrika

NA CHARLES ONGADI  MATUMAINI ya Kenya kushinda medali katika mchezo wa ndondi katika Mashindano ya Afrika yanayoendelea Accra nchini...

Kosgei, Cheruiyot wafukuzia Sh22m Lisbon Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa zamani wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42, Brigid Kosgei anapigiwa upatu kuibuka bingwa wa mbio za...

Kipa Courtois aendelea kufunga mabao akitarajiwa kuitwa baba mara ya tatu

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO KIPA mzoefu wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ubelgiji, Thibaut Courtois, yuko pua na mdomo kuwa baba mzazi...

Manchester City wapewa Real Madrid katika robo-fainali Uefa

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Manchester City watakutana na washikilizi wa rekodi ya mataji mengi (14) Real Madrid baada ya droo ya...

Arsenal yapewa Bayern Munich hatua ya robo-fainali Uefa

NA REUTERS KLABU ya Arsenal imekutanishwa na miamba Bayern Munich katika droo ya mechi za hatua ya robo-fainali ya Klabu Bingwa Ulaya...

Ruto aibia AFC Leopards ujanja wa kujizolea mkwanja

NA JOHN ASHIHUNDU RAIS William Ruto ameshauri wanachama wa AFC Leopards wabadilishe klabu hiyo ili iwe shirika lenye faida badala ya...