• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:24 AM

KCB wapata wanyonge droo ya Tisap Sevens

Na GEOFFREY ANENE MAKUNDI ya duru ya tano ya raga za kitaifa za wachezaji saba kila upande ya Tisap Sevens yametangazwa, huku KCB wakipata...

Vihiga Queens kuanza dhidi ya Ulinzi Starlets msimu mpya wa 2023-24

NA TOTO AREGE MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Nchini (KWPL), Vihiga Queens, watafungua msimu wa 2023-24 dhidi ya wanajeshi...

Lukaku: Ilibidi tuzoee maziwa na mkate kila siku kwa sababu ya msoto nyumbani

CECIL ODONGO Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI wa Ubelgiji Romelu Lukaku amesimulia namna kwao walilelewa kwa maisha ya umaskini mkubwa na jinsi...

Namwamba apambana kujitoa kwa kinywa cha mamba

JOHN ASHIHUNDU Na MARY WANGARI WAZIRI wa Michezo, Maswala ya Vijana na Sanaa, Ababu Namwamba mnamo Jumatano alijitetea vikali mbele ya...

Msimu mpya wa Ligi Kuu ya Kenya kuanza Jumamosi

NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Soka Nchini (FKF) limetangaza ratiba ya mechi za msimu mpya wa 2023/2024 utakaoanza rasmi...

Nyota 5 kuwakilisha Kenya kwenye Mashindano ya Dunia ya Chesi nchini Ujerumani

NA TOTO AREGE WACHEZAJI watano wa timu ya wanabenki wa KCB ya Sataranji yaani chesi, wanatarajiwa kuondoka nchini mnamo Jumatano kuelekea...

Vichapo vyatoa pumzi Man United na Chelsea

NA MASHIRIKA KOCHA Mauricio Pochettino anakabiliwa na presha ya mapema kunyanyua Chelsea ambayo imeanza vibaya Ligi Kuu ya Uingereza...

Omanyala kutia mfukoni Sh850,000 licha ya kushika nafasi ya saba mbio za Budapest

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala amelazimika kuridhika na Sh854,097 baada ya...

Malkia wa ulimwengu wa soka kujulikana Uingereza ikipambana na Uhispania

Na MASHIRIKA BAADA ya mwezi mzima wa patashika na fataki nchini New Zealand na Australia, malkia wapya wa Kombe la Dunia hatimaye...

Harry Kane aanza kampeni ya Bundesliga kwa matao ya juu

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Uingereza, Harry Kane, alifunga bao na kuchangia jingine katika mchuano wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Ujerumani...

Luciano Spalletti achukua mikoba ya kudhibiti Azzurri

Na MASHIRIKA TIMU ya taifa ya Italia imepokeza aliyekuwa mkufunzi wa Napoli, Luciano Spalletti, mikoba ya ukocha baada ya Roberto Mancini...

Chelsea wang’oa kiungo Romeo Lavia kutoka Southampton kwa Sh9.6 bilioni

Na MASHIRIKA CHELSEA wamekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Ubelgiji, Romeo Lavia, kwa Sh9.6 bilioni kutoka Southampton. Nyota huyo...