• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 1:47 PM

Msimu wa 2022-23 Ligi ya Divisheni ya Kwanza wanawake kufika kilele wikendi

NA TOTO AREGE  IMESALIA awamu moja tu ya mechi za Ligi Kuu ya Wanawake ya Divisheni ya Kwanza (KWPLDV1L) msimu wa 2022/23, kufikia kikomo...

KRU yashusha bei ya tiketi kutoka Sh300 hadi Sh100 kujaza Nyayo

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limetangaza kupunguza bei ya tiketi za kuingia ugani Nyayo jijini Nairobi kwa siku ya...

Soccer Assassins wawanyoa Solasa Queens bila maji

NA TOTO AREGE SOCCER Assassins waliwanyorosha Solasa Queens bila huruma, kwa kuwapiga 5-1 kati mechi ya Zoni B ya Ligi Kuu ya Wanawake ya...

Uwanja wa shule ya Gatina kukarabatiwa kwa Sh23 milioni

NA JOHN ASHIHUNDU UWANJA wa michezo wa Shule ya Msingi ya Gatina katika eneobunge la Dagoretti Kaskazini utafanyiwa ukarabati...

Kocha wa Soccer Assassins atuma onyo kwa Solasa

NA TOTO AREGE KOCHA wa timu ya Soccer Assassins Nickson Muleri amesema lazima wapate ushindi dhidi ya Solasa Stima Queens katika mechi ya...

Jinsi Tuntigi Gaming wanavyovutia vijana wanaotaka kucheza na kuvuna hela

NA MAUREEN ONGALA VIJANA kutoka Mombasa na Kilifi wameonyesha ari ya kujiunga na Tuntigi, mchezo wa E-Sport ili kuonyesha weledi wao na...

Wanyonyi akung’uta Mandonga ‘Mtu Kazi’

NA CHARLES ONGADI BONDIA Daniel Wanyonyi hatimaye alilipiza kisasi kwa kumshinda Karim ‘Mtu Kazi’ Mandonga wa Tanzania katika pigano...

Bondia Wanyonyi adhihirisha Kenya imara kwa kumtandika Mandonga ‘mtu kazi’  

NA MWANGI MUIRURI BONDIA Daniel Wanyonyi amedhihirisha kuwa Kenya ni imara katika ndondi, baada ya kumwangushia mwenzake Mtanzania...

Omanyala apata windo alilotafuta mjini Monaco

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala na Faith Kipyegon waliendelea kupatia Kenya matumaini ya kupata medali kwenye Riadha za Dunia...

Janet Okello: Kenya Lionesses ina kibarua kigumu kuingia Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE NYOTO Janet ‘Shebesh’ Okello amebashiri Ijumaa kuwa wapinzani wakuu wa Kenya Lionesses kwenye Kombe la Afrika la...

AFC Leopards kuhamisha mechi zake za nyumbani kutoka Nyayo

NA JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards itahamisha mechi zake za nyumbani kutoka uwanja wa kitaifa wa Nyayo hadi Ulinzi Sports Complex...

Omanyala atua mjini Monaco kuwinda ushindi katika Diamond League

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala amewasili jijini Monaco tayari kwa riadha...