Na MASHIRIKA KALIDOU Koulibaly, 32, amekuwa mchezaji wa hivi punde zaidi wa Chelsea kuyoyomea Saudi Arabia baada ya kusajiliwa na...
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamemsajili kipa matata raia wa Italia, Guglielmo Vicario, kwa miaka mitano kutoka kikosi cha Empoli...
NA TOTO AREGE NATION FC imejumuishwa katika Kundi C katika mashindano ya soka ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (SJAK)...
Na MASHIRIKA LUKA Modric ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomshuhudia sasa akichezea Real Madrid ya Uhispania hadi Juni...
Na MASHIRIKA ROY Hodgson amekubali kusalia kuwa kocha wa Crystal Palace msimu ujao wa 2023-24. Mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 75...
NA TOTO AREGE TIMU ya Police FC ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka nchini (FKF-PL) Kenya Police FC, imeanza kukuza soka ya wanawake...
Na MASHIRIKA NAHODHA wa Aston Villa, John McGinn, ametia saini mkataba mpya utakaomshuhudia akiendelea kuchezea kikosi hicho cha Ligi...
Na MASHIRIKA MKUFUNZI wa zamani wa Liverpool na Newcastle United, Rafael Benitez, amerejea katika ulingo wa ukocha baada ya kukubali...
Na MASHIRIKA AMERIKA watakuwa wenyeji wa kipute kilichopanuliwa cha Klabu Bingwa Duniani ambacho kitajumuisha timu 32 za wanaume mnamo...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United wametoa ofa mpya ya Sh9.8 bilioni ambayo sasa ni ya tatu kwa ajili ya kumsajili kiungo mzoefu wa Chelsea,...
Na GEOFFREY ANENE WANAGOFU Lynette Gitimu na Abigail Njuguna mnamo Ijumaa walishindia Kenya medali ya dhahabu kwenye Olimpiki Maalum...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Ruth Chepngetich atatetea taji lake la Chicago Marathon nchini Amerika mnamo Oktoba 8, 2023. Ametoa ithibati ya...