• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Beki Kalidou Koulibaly abanduka Chelsea na kuyoyomea Saudi Arabia kuchezea Al-Hilal

Na MASHIRIKA KALIDOU Koulibaly, 32, amekuwa mchezaji wa hivi punde zaidi wa Chelsea kuyoyomea Saudi Arabia baada ya kusajiliwa na...

Tottenham wajinasia kipa matata Guglielmo Vicario

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamemsajili kipa matata raia wa Italia, Guglielmo Vicario, kwa miaka mitano kutoka kikosi cha Empoli...

Nation FC yapangwa katika Kundi C michuano ya SJAK

NA TOTO AREGE NATION FC imejumuishwa katika Kundi C katika mashindano ya soka ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (SJAK)...

Modric sasa kuchezea Real Madrid hadi Juni 2024

Na MASHIRIKA LUKA Modric ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomshuhudia sasa akichezea Real Madrid ya Uhispania hadi Juni...

Mkongwe Roy Hodgson kuendelea kudhibiti mikoba ya Crystal Palace msimu wa 2023-24

Na MASHIRIKA ROY Hodgson amekubali kusalia kuwa kocha wa Crystal Palace msimu ujao wa 2023-24. Mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 75...

Thika Queens sasa yamilikiwa na Police FC

NA TOTO AREGE TIMU ya Police FC ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka nchini (FKF-PL) Kenya Police FC, imeanza kukuza soka ya wanawake...

Nahodha John McGinn kuendelea kuchezea Aston Villa hadi 2027

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Aston Villa, John McGinn, ametia saini mkataba mpya utakaomshuhudia akiendelea kuchezea kikosi hicho cha Ligi...

Kocha Rafael Benitez apokezwa mikoba ya kunoa Celta Vigo ya Uhispania

Na MASHIRIKA MKUFUNZI wa zamani wa Liverpool na Newcastle United, Rafael Benitez, amerejea katika ulingo wa ukocha baada ya kukubali...

Amerika kuwa mwenyeji wa kipute kilichopanuliwa cha Klabu Bingwa Duniani 2025

Na MASHIRIKA AMERIKA watakuwa wenyeji wa kipute kilichopanuliwa cha Klabu Bingwa Duniani ambacho kitajumuisha timu 32 za wanaume mnamo...

Man-United wawasilishia Chelsea ofa ya tatu kwa ajili ya kumsajili Mason Mount

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wametoa ofa mpya ya Sh9.8 bilioni ambayo sasa ni ya tatu kwa ajili ya kumsajili kiungo mzoefu wa Chelsea,...

Olimpiki Maalum: Lynette Gitimu na Abigail Njuguna wavunia Kenya dhahabu

Na GEOFFREY ANENE WANAGOFU Lynette Gitimu na Abigail Njuguna mnamo Ijumaa walishindia Kenya medali ya dhahabu kwenye Olimpiki Maalum...

Chepngetich aingia Chicago Marathon kutetea taji

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Ruth Chepngetich atatetea taji lake la Chicago Marathon nchini Amerika mnamo Oktoba 8, 2023. Ametoa ithibati ya...