• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

AFC Leopards kutema wachezaji kadhaa kabla ya msimu mpya

NA JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards imepania kukisuka upya kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa 2023/2024, huku swala la kutwaa ubingwa wa...

Kenya kupimwa na Uganda, Afrika Kusini kwenye riadha za kitaifa Juni 22

NA AYUMBA AYODI WANARIADHA kutoka mataifa ya Afrika Kusini, eSwatini, Ushelisheli, Uganda, Sudan Kusini na Tanzania wamethibitisha...

Aston Villa waajiri Monchi kuwa rais wao wa masuala ya soka

Na MASHIRIKA ASTON Villa wameajiri mkurugenzi wa soka kambini mwa Sevilla, Monchi, kuwa rais wa masuala yao ya soka. Monchi, 54, ni raia...

Compel FC yaongoza ligi ya Zoni A Daraja la Pili

NA JOHN KIMWERE TIMU ya Compel FC imerukia uongozi wa mechi za Zoni A Kanda ya Magharibi Ligi ya Taifa Daraja la Pili baada ya kuzaba...

Mwanandondi Conjestina Achieng’ apata ajira kama mtumishi wa karibu wa Mike Sonko  

  NA MERCY KOSKEI NYOTA wa zamani wa ndondi Conjestina Achieng', mnamo Ijumaa, Juni 16,2023, kwa mara ya kwanza aliripoti kazini...

Poland waangusha Ujerumani katika pambano la kirafiki

Na MASHIRIKA BEKI Jakub Kiwior alifunga bao la pekee na la ushindi uliosajiliwa na Poland dhidi ya Ujerumani katika pambano lililompa...

Kocha Gregg Berhalter aliyetimuliwa kwa kumpiga mkewe mateke hatimaye arejeshwa kazini

Na MASHIRIKA GREGG Berhalter ameteuliwa upya kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Amerika, miezi sita baada ya mkataba wake kutamatika huku...

Giroud na Mbappe wabeba Ufaransa dhidi ya Gibraltar kwenye mechi za kufuzu Euro 2024

Na MASHIRIKA OLIVIER Giroud na Kylian Mbappe walifunga bao kila mmoja na kusaidia Ufaransa kupepeta Gibraltar 3-0 katika mchuano wa kufuzu...

Leicester City waajiri kocha Enzo Maresca

Na MASHIRIKA LEICESTER City wameajiri aliyekuwa kocha msaidizi wa Manchester City, Enzo Maresca, kuwa kocha wao mpya hadi mwaka wa...

Safaricom na Kenya Airways wamwaga mamilioni kupiga jeki Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE KAMPUNI ya Safaricom mnamo Juni 16 ilipiga jeki duru ya Mbio za Magari za Dunia (WRC) Safari Rally kwa Sh25 milioni...

Messi apachika wavuni bao la haraka zaidi kitaaluma na kusaidia Argentina kupepeta Australia kirafiki

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifunga bao lake la haraka zaidi kitaaluma katika ushindi wa 2-0 uliosajiliwa na Argentina dhidi ya Australia...

Napoli waajiri kocha Rudi Garcia kujaza pengo la Luciano Spalletti

Na MASHIRIKA MABINGWA wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Napoli, wameajiri kocha mpya, Rudi Garcia. Mkufunzi huyo raia wa Ufaransa mwenye...