• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Okutoyi kuongoza Team Kenya kwenye mashindano ya tenisi ya Billie Jean King Cup ugani Nairobi Club

Na GEOFFREY ANENE KENYA imezindua kikosi kitakachowania ubingwa wa mashindano ya tenisi ya Afrika ya Kundi la Tatu ya Billie Jean King...

Soka yahamia Uarabuni CR7, Benzema wakiendea mihela

Na CHRIS ADUNGO MASHABIKI wa soka wameanza kuhisi kwamba upo wakati ambapo Ligi Kuu ya Saudi Arabia itaanza kuwa kivutio kikubwa kama...

Jackson Mutiso ashinda Sh20 milioni za SportPesa Midweek Jackpot

Na CECIL ODONGO ILIKUWA furaha riboribo kwa Jackson Mutiso kutoka Athi River, Kaunti ya Machakos baada ya kushinda Sh20 milioni kwenye...

Kocha Beldine Odemba kuongoza Rising Starlets kwenye mashindano ya CECAFA

NA TOTO AREGE KOCHA wa timu ya taifa ya Kenya ya wanawake ya Rising Starlets ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 18 Beldine Odemba,...

Ulinzi Starlets walenga kutwaa taji la KWPL msimu ujao

NA TOTO AREGE KOCHA wa wanajeshi wa Ulinzi Starlets Joseph Mwanzia amepongeza warembo hao kwa kupiga Nakuru City Queens 3-1 katika...

Mary Moraa atarajiwa kuwa kivutio kwenye riadha za polisi

Na AYUMBA AYODI WANAMEDALI wa Jumuiya ya Madola Mary Moraa (mita 800), Beatrice Chebet (5000m) na Daniel Simiu (10000m) watakuwa vivutio...

Gor yarejea kileleni baada ya Tusker kulewa magoli ya Wazito

Na CECIL ODONGO GOR Mahia jana waling'oa Tusker juu ya jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya kuwapiga Ulinzi Stars mabao 2-0 huku...

Ulinzi Starlets mbioni kutetea ubingwa wa Kombe la FKF

NA TOTO AREGE  ULINZI Starlets wanapania kutetea taji lao mnamo Jumapili watakapomenyana na Nakuru City Queens katika mechi ya fainali...

ADAK yapiga Wakenya 20 marufuku kwa kudaiwa kutumia dawa za kusisimua misuli

Na AYUMBA AYODI SHIRIKA la Kukabiliana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli nchini Kenya (ADAK) limepiga marufuku wanamichezo 20 kwa...

Manchester City watandika Manchester United na kujizolea Kombe la FA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kujizolea jumla ya mataji matatu msimu huu baada ya kukomoa majirani zao...

Kigogo Sergio Ramos aagana rasmi na PSG

Na MASHIRIKA BEKI Sergio Ramos, 37, ameagana rasmi na klabu ya Paris Saint-Germain (PSG). Anakuwa mchezaji wa pili wa haiba kubwa...

Mshambuliaji Rafael Leao sasa kuchezea AC Milan hadi mwaka wa 2028

Na MASHIRIKA FOWADI Rafael Leao, 23, ametia saini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomdumisha kambini mwa AC Milan hadi mwaka wa...