• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

Arsenal, Man City katika presha ya kujaza pengo lililofunguliwa na Liverpool

LONDON, UINGEREZA MANCHESTER City na Arsenal watakuwa mawindoni kupunguza presha ya kuachwa na Liverpool kwenye Ligi Kuu (EPL)...

Wito kwa serikali, Nike kujenga miundomsingi ya riadha dunia ikimuaga Kiptum

NA HASSAN WANZALA VIONGOZI mbalimbali wametoa wito kwa serikali na kampuni za vifaa vya michezo kuwajali wanariadha ili kupiga jeki...

Arsenal waliolipua Burnley Jumamosi wakosa risasi katika Uefa

NA MASHIRIKA PORTO, URENO: KAMBI ya Arsenal imejaa masikitiko baada ya kupigwa bao moja chungu na FC Porto dakika ya mwisho katika...

Bondia anayeinukia Lamu afichua ‘bullying’ ilimzindua kujijenga

NA KALUME KAZUNGU MARA nyingi mtu hujipata akifanya vyema kwenye mchezo fulani, iwe ni kandanda, raga, netiboli, magongo, voliboli,...

Kiptum alifariki kutokana na majeraha ya kichwa – Upasuaji

NA TITUS OMINDE KWA muda wa saa tano, mwanapatholojia wa serikali Johansen Oduor amekuwa makini akifanya uchunguzi wa kina kwa mwili wa...

Mbappe apuuza Arsenal, Man Utd na Chelsea na kuyoyomea Real Madrid

PARIS, UFARANSA SASA ni rasmi mshambuliaji matata Kylian Mbappe ataondoka Paris Saint Germain (PSG) ya Ligue 1 na kujiunga na Real Madrid...

AFCON2023: Ivory Coast na Nigeria wamwagia wachezaji mamilioni na nyumba za kifahari

NA JOHN ASHIHUNDU MARAIS wa nchi za Ivory Coast na Nigeria wametoa pongezi na zawadi nono za mamilioni ya pesa pamoja na nyumba kwa...

Chesi: Chipukizi Robert Mcligeyo aingia katika kikosi cha timu ya taifa

NA TOTO AREGE MCHEZAJI chipukizi wa mchezo wa chesi Robert Mcligeyo kwa mara ya pili mfululizo, amefanikiwa kuingia kwenye kikosi cha...

Liverpool wakomoa Brentford na kukatalia pale juu mezani

NA MASHIRIKA LIVERPOOL waliendelea kudhibiti usukani wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na kujiweka pazuri kutawazwa mabingwa wa kipute...

Kocha Gervais Hakizimana: Kielelezo cha urafiki wa kufa kuzikana kwa Kiptum

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Gervais Hakizimana alikuwa mkimbiaji mstaafu wa taifa la Rwanda aliyeshindia nchi yake mataji kadhaa katika mbio...

Ingwe yaendelea kung’aa Shabana ikibugia Tusker 4 kavu

CECIL ODONGO na JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards jana iliendeleza wimbi la matokeo mazuri, huku Shabana ikinyeshewa 4-0 na Tusker kwenye mechi...

Ubabe uliotarajiwa kati ya Kiptum na Kipchoge katika 42km wazimwa na kifo cha ghafla

Na GEOFFREY ANENE VITA vya ubabe vilivyotarajiwa kwa hamu kubwa kwenye mbio za kilomita 42 kati ya Wakenya Eliud Kipchoge na Kelvin Kiptum...