Na MASHIRIKA KUSUASUA kwa Napoli kuliendelea Jumamosi baada ya Hellas Verona wanaokodolea macho hatari ya kuteremshwa ngazi katika Ligi...
Na MASHIRIKA MASAIBU ya Bayern Munich chini ya kocha Thomas Tuchel yaliendelea Jumamosi baada ya miamba na mabingwa hao watetezi...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga bao katika ushindi wa 3-1 uliosajiliwa na waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) dhidi ya Lens katika...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walijiandaa kwa mchuano wa mkondo wa pili wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Chelsea kwa ushindi wa 2-0 dhidi...
NA GEOFFREY ANENE MKENYA Evans Chebet amefanikiwa kuhifadhi ubingwa wa Boston Marathon, lakini baada ya kufanya kazi ya ziada katika...
AREGE RUTH Na ABDULRAHMAN SHERIFF KOCHA wa mabingwa watetezi Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Thika Queens Fredrick Majani, amepongeza...
NA MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola ametaka masogora wake kusakata mechi ijayo ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) dhidi ya Arsenal kama...
Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar wamehifadhi ubingwa wa Kombe la Enterprise baada ya kupokonya KCB ushindi kinywani ugani RFUEA mjini...
NA AREGE RUTH MVUA ya mabao ilishuhudiwa katika uwanja wa Ruaraka jijini Nairobi, wakati wanajeshi wa Ulinzi Starlets waliinyeshea...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Agnes Ngetich ameridhika na Sh538,400 baada ya kumaliza mbio za B.A.A. 5K nyuma ya Muethiopia Mekides Abebe mjini...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijifunga mabao mawili na wakampoteza beki Lisandro Martinez kupitia jeraha baya mwishoni mwa kipindi cha...
Na GEOFFREY ANENE JUHUDI za mshambulizi Michael Olunga kutetea taji la mfungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Qatar (QSL) zimo hatarini...