• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 12:45 AM

Tottenham Hotspur wazamisha chombo cha Man-City katika EPL

Na MASHIRIKA BAO la Harry Kane ambaye sasa ni mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Tottenham Hotspur lilisaidia waajiri wake kukomoa...

KWPL: Mvua ya mabao kwenye raundi ya nane

NA AREGE RUTH KATIKA raundi ya nane ya mechi za Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), mabao 21 yalifungwa ikilinganishwa na raundi ya tano...

Murang’a Seal yashinda na kujiongezea matumaini ya kufuzu

NA JOHN ASHIHUNDU USHINDI wa 3-0 dhidi ya Mara Sugar katika pambano la Supa Ligi (NSL) umeongeza matumaini ya Murang’a Seal FC kufuzu...

Lautaro Martinez asaidia Inter kuangusha AC Milan katika gozi la Serie A ugani San Siro

Na MASHIRIKA LAUTARO Martinez alifunga bao la pekee lililovunia Inter Milan ushindi wa 1-0 dhidi ya watani wao wakuu AC Milan katika Ligi...

Harry Kane avunja rekodi ya Jimmy Greaves na kuwa mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Tottenham Hotspur kwa mabao 267

Na MASHIRIKA FOWADI Harry Kane ametaka mashabiki kutarajia mabao mengi zaidi kutoka kwake baada ya kumpita nguli Jimmy Greaves na kuwa...

Lengo la Murang’a Seal ni kusaidia vijana kutimiza ndoto yao ya kusakata soka ya kulipwa

NA JOHN ASHIHUNDU KUSHIRIKI katika Ligi Kuu ya Kenya sio nia kuu ya klabu ya Murang’a Seal, bali ni kunoa vipaji vya vijana na...

Barcelona wakomoa Sevilla na kufungua mwanya wa alama nane kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua mwanya wa alama nane kati yao na nambari mbili Real Madrid kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania...

Chepng’etich arejea mbio za nyika kwa kishindo, alenga kutawala Riadha za Dunia nchini Hungary

Na GEOFFREY ANENE MALKIA wa Olimpiki na dunia mbio za mita 1,500, Faith Chepng'etich alirejea kwa kishindo katika mbio za nyika baada ya...

Mallorca yaduwaza Real Madrid katika pambano la La Liga

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Real Madrid, walipoteza fursa ya kupunguza pengo la alama kati yao na...

Wolves wang’ata Liverpool na kuendeleza masaibu ya kocha Jurgen Klopp katika EPL msimu huu

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers ya kocha Julen Lopetegui iliendeleza masaibu ya kocha Jurgen Klopp katika Ligi Kuu ya Uingereza...

Lionel Messi abeba PSG dhidi ya Toulouse katika Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA BAO la kiufundi kutoka kwa Lionel Messi lilisaidia Paris Saint-Germain (PSG) kutoka nyuma na kukung’uta Toulouse 2-1 katika...

Newcastle United na West Ham nguvu sawa katika EPL ugani St James’ Park

Na MASHIRIKA WEST Ham United walitoka nyuma na kulazimishia Newcastle United sare ya 1-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ugani St...