• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM
Droo ya UEFA: Klopp kumenyana na Bayern Munich

Droo ya UEFA: Klopp kumenyana na Bayern Munich

NA CECIL ODONGO

KLABU ya Manchester United na Paris Saint Germain zitakutana kwenye hatua ya muondoano katika mechi za kuwania klabu bingwa barani Uropa baada ya droo kali kufanyika Jumatatu Disemba 17 katika makao makuu ya UEFA, Nyon Uswidi.

Mchuano mwingine mkali utawakutanisha Liverpool waliofuzu fainali ya msimu uliopita ambao pia ni mabingwa mara tano wa kombe hilo dhidi ya washindi wa mwaka wa 2012-13 Bayern Munich.

Hii hapa ratiba kamili ya mechi hizo zitakazorejelewa mwezi wa Februari mwaka wa 2019

Schalke vs Manchester City

Atletico Madrid vs Juventus

Manchester United vs Paris Saint Germain

Tottenham Hotspur vs Borussia Dortmund

Olympic Lyon vs Barcelona

AS Roma vs Porto

Ajax vs Real Madrid

Liverpool vs Bayern Munich

You can share this post!

Casillas amkejeli Mourinho baada ya kudhalilishwa Anfield

Madiwani wamkejeli Raila kutaka idadi yao ipunguzwe

adminleo