Henry Chakava: Lenzi iliyowaweka soko Ngugi wa Thiong’o, Chinua Achebe katika Fasihi
NA WANDERI KAMAU KIFO cha mchapishaji vitabu Henry Chakava mnamo Ijumaa, kimefunga ukurasa wa mchapishaji wa kipekee, aliyejitosa kwenye sekta hiyo wakati ilikuwa vigumu kwa Waafrika kumiliki mashirika ya uchapishaji. Kulingana na wasomi wa fasihi waliotangamana na Dkt Chakava, wanamtaja kama lenzi iliyowalea waandishi nguli kama Prof Ngugi wa Thiong’o, Meja Mwangi, Chinua Achebe, Cyprian […]