Washindi wa insha za ‘Taifa Leo’ watuzwa Sh50,000 kila mmoja
NA CHRIS ADUNGO WANAFUNZI sita walioibuka mabingwa wa kitaifa katika ‘Shindano la Uandishi wa Insha za Taifa Leo’ katika miaka ya kiakademia ya 2021 hadi 2022 walituzwa karo ya Sh50,000 kila mmoja hapo jana katika jumba la Nation Centre, Nairobi. MwanaIddi Majaliwa wa Mtondia Highway Trinity (Tezo, Kilifi), Alvine Juma Oduor wa Lukonyi Boys (Matayos, […]