• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 AM

Amerika yakataza raia wake kuanikia wezi mapambo ya thamani

KEVIN CHERUIYOT Na CHARLES WASONGA AMERIKA imewataka raia wake nchini kuwa waangalifu kufuatia ongezeko la visa vya uhalifu vinavyoshuhudiwa katika mitaa ya makazi jijini Nairobi. Kwenye taarifa iliyowekwa kwenye tovuti ya ubalozi wake nchini Kenya mnamo Ijumaa, taifa hilo linawaonya raia wake na kuwataka kuficha mali yao ya thamani kama vile saa, simu, mikufu na aina […]

Vijana wanaounda mapambo kwa kutumia mifupa 

NA FRIDAH OKACHI NYAMA ni kitoweo chenye mashabiki wengi nchini, na inaposhabikiwa wengi hutupa mifupa. Wengine, huipa wanyama wa nyumbani kama vile mbwa na paka. Wewe unapoila, hufanya nini nayo? Katika mtaa wa mabanda wa Kibra, kundi moja la vijana kwao mifupa ni dhahabu. Ni kitega uchumi kinachowaingizia mapato ili kusukuma gurudumu la maisha. Kibra […]

UDAKU: Usicheze na Georgina, mapambo yake pekee ni bei ya Toyota Prado mbili!

Na CHRIS ADUNGO MWANAMITINDO Georgina Rodriguez, 27, ana kila sababu ya kuonea fahari uhusiano wake wa kimapenzi na Cristiano Ronaldo ambaye sasa anadumishwa kwa mshahara wa Sh74 milioni kwa wiki kambini mwa Manchester United. Malipo hayo yatamfanya fowadi huyo raia wa Ureno kuwa mwanasoka anayedumishwa kwa ujira wa juu zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza […]

AKILIMALI: Arejea nchini kutoka China kufunza vijana jinsi ya kushona mavazi na mapambo

NA RICHARD MAOSI [email protected] Maonyesho ya mapambo na nguo za kiasili ni kazi za mikono ,zinazohitaji ubunifu wa aina yake ambapo ubora na usasa ni mambo mawili ya kuzingatiwa.Aina mpya ya mitindo ikiwa ni baadhi ya mambo ya kutiliwa mkazo. Mbali na kilimo biashara jukwa la mapambo na mavazi, limekuwa likiwaleta pamoja wauzaji na wanunuzi […]

PAMBO: Yaliyopita yasiwe ndwele kwako

Na Benson Matheka WATU wakiachwa na wachumba wao au wakipata talaka huanza maisha mapya ya mapenzi. Wataalamu wanasema watu hao huwa na kipindi kigumu sana baada ya kuachwa na kabla ya kupata wachumba wapya. Wanasema kuachwa na mpenzi au kupata talaka kunasononesha sana hata kwa wale ambao hupeana talaka wenyewe. “Haijalishi ni nani anayeacha mwenzake, […]

PAMBO: Msaidie mchumba wako kupiga deki upate asali bila kipimo

Na BENSON MATHEKA Unapomsaidia kazi za nyumbani bila shaka unampunguzia uchovu hivyo kumuacha katika hali mzuri ya kukupatia burudani tosha -Alfred Ombati, Shirika la Love Care, Nairobi IKIWA wewe ni mwanamume mzembe unayependa kuketi kwenye kochi mkeo akifanya kazi za nyumbani, unajinyima uroda kutoka kwake. Wataalamu wanasema kwamba wanaume wanaosaidiana kazi za nyumbani na wake […]

PAMBO: Jinsi ya kumkolesha asali mchumba wako chumbani

Na BENSON MATHEKA ‘‘Unapombusu mwanadada, kuwa muungwana, fanya hivyo kwa heshima, usisukume ulimi wako ndani ya mdomo wake kana kwamba umepagawa, mleweshe kwa busu taratibu na kwa unyenyekevu. -Joyce Kilavi (Shirika la Make it Real)   IKIWA wewe ni mwanamume na unataka kuchukiwa na mchumba wako, basi mharakishe kushiriki tendo la ndoa, mpapase kwa pupa […]

Babu Owino: Ruto anavalia saa ya Sh10 milioni, aiuze alipe madaktari

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Embakasi Mashariki, Paul Ongili Owino, almaarufu Babu Owino, anadai kwamba Rais William Ruto anamiliki saa yenye thamani ya Sh10 milioni na anapaswa kuiuza ili kusaidia kuangazia kilio cha madaktari waliogoma. Mwanasiasa huyo mzushi anasema Rais Ruto hapaswi kusema serikali yake haina pesa, wakati ambapo anavalia pambo la bei ghali. Kwenye […]

Al-Shabaab warudisha kilimo cha zingifuri kuwa ‘sufuri’

NA KALUME KAZUNGU KILIMO cha zingifuri, yaani bixa kinakabiliwa na pandashuka tele, mojawapo ikiwa ni changamoto ya mashambulio ya mara kwa mara yanayotekelezwa na Al-Shabaab katika Kaunti ya Lamu. Maeneo mengi yapatikanayo tarafa za Mpeketoni, Hindi, na Witu katika kaunti hiyo yamekuwa yakisifika kwa kuendeleza kilimo cha zingifuri tangu mmea huo ulipozinduliwa kwa mara ya kwanza Pwani ya […]