Amerika yakataza raia wake kuanikia wezi mapambo ya thamani
KEVIN CHERUIYOT Na CHARLES WASONGA AMERIKA imewataka raia wake nchini kuwa waangalifu kufuatia ongezeko la visa vya uhalifu vinavyoshuhudiwa katika mitaa ya makazi jijini Nairobi. Kwenye taarifa iliyowekwa kwenye tovuti ya ubalozi wake nchini Kenya mnamo Ijumaa, taifa hilo linawaonya raia wake na kuwataka kuficha mali yao ya thamani kama vile saa, simu, mikufu na aina […]