MALENGA WA WIKI: Kifo cha Sudi Kigamba ni pigo kwa tasnia ya ushairi na taaluma ya Kiswahili
Na HASSAN MUCHAI MAREHEMU Al- Haji Sudi Kigamba aliyejulikana kwa lakabu ya ‘’Mwanamrima’’ alikuwa na mambo mawili aliyotaka kutimiza pindi angetua nchini Kenya mwezi Machi au Aprili mwaka 2021. Kupitia ujumbe wake ulionukuliwa Agosti 16, 2019, Marehemu alitaka kuyakusanya mashairi ya marehemu Mwalim Mbega akiwa na nia ya kuandika wasifu wake. Kilichomkwaza sana kutimiza azma […]