Tag: 2019
- by adminleo
- December 23rd, 2019
2019: Kamatakamata ya kila Ijumaa ilitesa mafisadi
Na RICHARD MUNGUTI Mwaka huu hautasahaulika hasa miongoni mwa maafisa wengi wakuu serikalini wakiwemo mawaziri, makatibu wa wizara...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
2019: Sarakasi bungeni hazikukosa hata Akothee na minisketi yake
Na CHARLES WASONGA VIOJA na sakarasi hazikukosekana katika majengo ya bunge na kuwaacha wengi vinywa wazi kwa mshangao mkuu. Mnamo...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
2019: Wabunge 13 ambao wamekuwa mabubu bungeni tangu waapishwe
Na CHARLES WASONGA MDAHALO mkali uliibuka mwaka huu kuhusu suala zima la utathmini wa utendakazi wa wabunge na maseneta baada ya kubaini...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Watoto 20 wazaliwa Nakuru mkesha wa Mwaka Mpya
RICHARD MAOSI NA JOSEPH OPENDA JUMLA ya watoto 20 walizaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2019 katika Hospitali ya Rufaa ya...
- by adminleo
- January 1st, 2019
Wakenya waliteseka 2018, watarajia hali bora 2019
NA LILYS NJERU JAPO mwaka uliopita wa 2018 ulikuwa na changomoto chungu nzima kwa wananchi, Wakenya wengi mwaka huu wa 2019 wameomba...
- by adminleo
- January 1st, 2019
Mbwembwe za Mwaka Mpya 2019
Na WAANDISHI WETU MAMILIONI wa Wakenya kote nchini usiku wa kuamkia Jumanne waliungana na wenzao ulimwenguni kuukaribisha mwaka mpya wa...
- by adminleo
- January 1st, 2019
2019: Ukosefu wa usiri wa data mitandaoni utazidi kuwaumiza Wakenya mwaka huu
Na FAUSTINE NGILA TEKNOLOJIA ya dijitali mwaka uliopita ilituwezesha kupata taarifa tunazotaka mitandaoni kwa urahisi zaidi ila bila...
- by adminleo
- December 31st, 2018
MWAKA MPYA 2019: Wito wa amani na umoja Kenya
BENSON MATHEKA na BRIAN OCHARO WAKENYA wamehimizwa kuishi kwa umoja na amani mwaka huu ili nchi ipate ustawi wa kiuchumi. Viongozi wa...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Atakayerusha fataki kwa zaidi ya dakika 5 atakuwa taabani, wakazi Mombasa waonywa
EUNICE MURATHE Na WINNIE ATIENO MBWEMBWE za kusheherekea Mwaka Mpya zitatatizika baada ya idara ya usalama katika Kaunti ya Mombasa...
- by adminleo
- December 10th, 2018
2019 utakuwa mwaka wa njaa – Ripoti
KEVIN J KELLEY na BARNABAS BII KENYA huenda ikakabiliwa na baa la njaa mwaka 2019 kutokana na mavuno duni, haya ni kwa mujibu wa utabiri...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Mudavadi ashuku huenda sensa ya 2019 ikavurugwa
Na RUSHDIE OUDIA SHUGHULI ya kuhesabu idadi ya watu nchini mwaka 2019 inaweza kuvurugwa iwapo mikakati madhubuti haitawekwa na...