Tag: AFCON
- by T L
- February 7th, 2022
Senegal wapepeta Misri kwa penalti 4-2 na kutwaa taji la AFCON
Na MASHIRIKA SUBIRA ya Senegal hatimaye iliwavunia heri ya Kombe la Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza baada ya miaka 60 walipokomoa...
- by T L
- January 30th, 2022
Cameroon wakomoa Gambia na kuingia nusu-fainali ya AFCON
Na MASHIRIKA KARL Toko Ekambi alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia wenyeji Cameroon kufuzu kwa nusu-fainali za...
- by T L
- January 17th, 2022
Equatorial Guinea yaning’iniza Algeria pembamba kwenye AFCON
Na MASHIRIKA EQUATORIAL Guinea waliduwaza mabingwa watetezi wa Kombe la Afrika (AFCON), Algeria, kwa kuwapokeza kichapo cha 1-0 katika...
Harambee Stars yapiga Togo 2-1 bila Olunga
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya maarufu kama Harambee Stars ilibanduka kwenye michuano ya kuingia Kombe la Afrika (AFCON)...
Sierra Leone yatuma nyuma kupata sare ya 4-4 dhidi ya Super Eagles
Na MASHIRIKA SIERRA Leone walitoka nyuma kwa mabao manne bila jibu na kulazimishia Super Eagles ya Nigeria sare ya 4-4 katika mechi ya...
Nitajituma kufa kupona hadi Harambee Stars waingie Kombe la Dunia Qatar 2022 – Wanyama
Na CHRIS ADUNGO BAADA ya kuongoza Kenya kushiriki fainali za Kombe la Afrika (AFCON) nchini Misri kwa mara ya kwanza tangu 2004, kiungo...
- by adminleo
- July 1st, 2020
CAF yatoa tarehe mpya za vipute vya CHAN, AFCON
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Soka la Afrika (CAF) limethibitisha kwamba mechi za nusu-fainali na fainali ya kuwania ubingwa wa Klabu...
- by adminleo
- July 18th, 2019
FAINALI AFCON: Je, Senegal itaweza kulipiza kisasi dhidi ya Algeria?
Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI KIUNGO Badou Ndiaye wa Senegal amewataka vijana wenzake kujituma vilivyo na kunyanyua ubingwa wa Kombe la...
- by adminleo
- July 8th, 2019
TZ yatimua kocha kwa kuondoka Afcon bila ushindi
Na GEOFFREY ANENE TANZANIA ni nchi ya hivi punde kuwa bila kocha baada ya Emmanuel Amunike kupigwa kalamu kwa sababu ya Taifa Stars...
- by adminleo
- June 25th, 2019
AFCON: Kivumbi chatarajiwa kwa ‘fainali ndogo’ Kenya Vs TZ
Na GEOFFREY ANENE Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania wameapa kuonyeshana kivumbi Juni 27 kila mmoja akitafuta kuepuka...
- by adminleo
- June 24th, 2019
Migne alia Harambee Stars ilikosa mastaa wazoefu
Na JOHN ASHIHUNDU Baada ya kuchapwa 2-0 na Algeria, kocha Sebastien Migne amesema timu yake ya Harambee Stars ilikosa wachezaji wazoefu...
- by adminleo
- June 24th, 2019
AFCON: Kenya na TZ zapokea kichapo sawa
Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Stars ilianza kampeni yake ya Kombe la Afrika (AFCON) vibaya baada ya kuzimwa 2-0 dhidi ya Desert Foxes ya...