• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Senegal wapepeta Misri kwa penalti 4-2 na kutwaa taji la AFCON

Na MASHIRIKA SUBIRA ya Senegal hatimaye iliwavunia heri ya Kombe la Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza baada ya miaka 60 walipokomoa...

Cameroon wakomoa Gambia na kuingia nusu-fainali ya AFCON

Na MASHIRIKA KARL Toko Ekambi alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia wenyeji Cameroon kufuzu kwa nusu-fainali za...

Equatorial Guinea yaning’iniza Algeria pembamba kwenye AFCON

Na MASHIRIKA EQUATORIAL Guinea waliduwaza mabingwa watetezi wa Kombe la Afrika (AFCON), Algeria, kwa kuwapokeza kichapo cha 1-0 katika...

Harambee Stars yapiga Togo 2-1 bila Olunga

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya maarufu kama Harambee Stars ilibanduka kwenye michuano ya kuingia Kombe la Afrika (AFCON)...

Sierra Leone yatuma nyuma kupata sare ya 4-4 dhidi ya Super Eagles

Na MASHIRIKA SIERRA Leone walitoka nyuma kwa mabao manne bila jibu na kulazimishia Super Eagles ya Nigeria sare ya 4-4 katika mechi ya...

Nitajituma kufa kupona hadi Harambee Stars waingie Kombe la Dunia Qatar 2022 – Wanyama

Na CHRIS ADUNGO BAADA ya kuongoza Kenya kushiriki fainali za Kombe la Afrika (AFCON) nchini Misri kwa mara ya kwanza tangu 2004, kiungo...

CAF yatoa tarehe mpya za vipute vya CHAN, AFCON

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Soka la Afrika (CAF) limethibitisha kwamba mechi za nusu-fainali na fainali ya kuwania ubingwa wa Klabu...

FAINALI AFCON: Je, Senegal itaweza kulipiza kisasi dhidi ya Algeria?

Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI KIUNGO Badou Ndiaye wa Senegal amewataka vijana wenzake kujituma vilivyo na kunyanyua ubingwa wa Kombe la...

TZ yatimua kocha kwa kuondoka Afcon bila ushindi

Na GEOFFREY ANENE TANZANIA ni nchi ya hivi punde kuwa bila kocha baada ya Emmanuel Amunike kupigwa kalamu kwa sababu ya Taifa Stars...

AFCON: Kivumbi chatarajiwa kwa ‘fainali ndogo’ Kenya Vs TZ

Na GEOFFREY ANENE Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania wameapa kuonyeshana kivumbi Juni 27 kila mmoja akitafuta kuepuka...

Migne alia Harambee Stars ilikosa mastaa wazoefu

Na JOHN ASHIHUNDU Baada ya kuchapwa 2-0 na Algeria, kocha Sebastien Migne amesema timu yake ya Harambee Stars ilikosa wachezaji wazoefu...

AFCON: Kenya na TZ zapokea kichapo sawa

Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Stars ilianza kampeni yake ya Kombe la Afrika (AFCON) vibaya baada ya kuzimwa 2-0 dhidi ya Desert Foxes ya...