• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 1:08 PM

Kuna njama fiche ya kuagiza mahindi ng’ambo – Keter

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Nandi Hills Alfred Keter amepinga madai ya baadhi ya wasagaji kwamba, kuna uhaba wa mahindi nchini akisema,...

Shinikizo Kiunjuri ajiuzulu

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Nandi Hills Afred Keter sasa anamtaka Waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri kujiuzulu baada ya kubainika kuwa...

Raila aungwa mkono Rift Valley

Na ONYANGO K’ONYANGO WABUNGE kadhaa wa Rift Valley wamemtetea Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga baada ya wabunge wenzao kutoa...

Alfred Keter na wenzake wamtaka Uhuru kuhakikisha wakulima wamelipwa

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wanne wa Rift Valley sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati madhila ya wakulima wa mahindi...

Keter na Bowen katika mtanziko baada ya Jubilee kupanga kuwanyima tiketi

Na JEREMIAH KIPLANG’AT Kwa ufupi: Alfred Keter na mwenzake wa Kongogo Bowen hawaelewani na Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake...

JAMVI: Hali ya Alfred Keter yaanika vita vya ubabe baina ya Ruto na Gideon Moi

[caption id="attachment_2401" align="aligncenter" width="800"] Mbunge wa Nandi Hills, Bw Alfred Keter alipokamatwa katika Benki Kuu ya...

Misururu ya kashfa haimbanduki Keter

[caption id="attachment_1661" align="aligncenter" width="800"] Mbunge wa Nandi Hills, Bw Alfred Kiptoo Keter. Picha/...