Tag: algeria
- by adminleo
- July 19th, 2019
FAINALI KALI: Algeria na Senegal kukwaana leo Ijumaa
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri MBIVU na mbichi kwenye makala ya 32 ya Kombe la Afrika itajulikana leo nchini Misri wakati Teranga Lions ya...
- by adminleo
- July 13th, 2019
Nigeria, Algeria katika gozi la nguo kuchanika
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri Baada ya kuwabandua Ivory Coast 4-3 kupitia kwa mikwaju ya penalti Alhamisi usiku, Algeria wanaopigiwa...
- by adminleo
- July 9th, 2019
UNABISHA? Madagascar na Algeria ni ramba mtu tu AFCON
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri MADAGASCAR iliendelea kudhihirishia ulimwengu haiko nchini Misri kutalii, bali kushindania taji la Kombe la...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Raia waandamana kupinga Spika kuteuliwa Rais mpya Algeria
NA MASHIRIKA MASENETA nchini Algeria Jumatano walimchagua Spika wa Bunge la Seneti Abdelkader Bensalah ambaye ni mshirika wa karibu wa...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Bouteflika hatimaye aomba raia wake msamaha
NA MASHIRIKA RAIS anayeondoka wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amewaomba msamaha raia wa nchi kwa kutowajibikia majukumu yake vilivyo...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
Bouteflika asalimu amri, spika atarajiwa kutwaa hatamu
NA MASHIRIKA SPIKA wa Seneti ataongoza Algeria kwa muda huku nchi hiyo ikiandaa mikakati ya kuchagua kiongozi mpya baada ya kujiuzulu...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Afisi ya Rais wa Algeria yatangaza atajiuzulu Aprili 28
Na MASHIRIKA AFISI ya Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria imetangaza kwamba ataachia madaraka Aprili 28 kabla ya kutamatika muda...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Baadhi ya raia Algeria wakasirishwa na hatua ya Abdelaziz Bouteflika
Na AFP ALGIERS, ALGERIA RAIA wa Algeria aghalabu wasiopenda kiongozi wa kutaka kudumu mamlakani Jumatatu walipuuzilia vikali matamshi ya...
- by adminleo
- May 15th, 2018
USM Alger yatua nchini kukabiliana na Gor Confederations Cup
Na GEOFFREY ANENE VIONGOZI wa Kundi D, USM Alger wametua jijini Nairobi tayari kupambana na Gor Mahia katika mechi ya Kombe la...
- by adminleo
- March 18th, 2018
Wakenya watwaa dhahabu Mbio za Nyika Algeria
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Celliphine Chespol, Ronex Kipruto na Alfred Barkach wamezoa medali za dhahabu katika Mbio za Nyika za Afrika...