Tag: bashir
- by adminleo
- September 8th, 2019
Bashir alimiliki ufunguo wa ‘chumba chenye mabilioni’
NA AFP MSIMAMIZI wa afisi ya aliyekuwa Rais wa Sudan Omar al-Bashir jana alieleza mahakama kwamba kiongozi huyo ndiye alikuwa na ufunguo...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Viongozi wa serikali mpya wamtembelea Bashir jela
NA AFP VIONGOZI wa Baraza jumuishi la uongozi nchini Sudan, jana walimtembelea aliyekuwa Rais Omar al-Bashir katika gereza maarufu la...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Bashir aonekana mara ya kwanza tangu atimuliwe
Na AFP KIONGOZI wa Sudan aliyeng’olewa madarakani, Omar el-Bashir mnamo Jumapili alionekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu...
- by adminleo
- April 18th, 2019
Kaka zake Bashir nao wanyakwa Museveni akijitolea kumpa hifadhi
Na AFP SERIKALI ya Kijeshi nchini Sudan Alhamisi ilitangaza kwamba imewatia mbaroni ndugu wawili wa aliyekuwa Rais Omar al-Bashir...
- by adminleo
- April 17th, 2019
Bashir atupwa kwa gereza alilokuwa akitupa waliompinga
WANDERI KAMAU NA MASHIRIKA ALIYEKUWA rais wa Sudan, Omar Al Bashir, Jumanne alipelekwa katika gereza la wahalifu sugu alilotumia...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Bashir ajiuzulu, waziri afunga anga na mipaka
MASHIRIKA NA DANIEL OGETTA RAIS wa Sudan, Hassan Umar Al-Bashir hatimaye amejiuzulu kufuatia migomo ya kila mara iliyosababishwa na bei...