Tag: BENKI
- by adminleo
- November 7th, 2019
Ni rasmi kwamba riba za benki zitakuwa juu sasa
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba mikopo ya benki itakuwa ghali mno kwani benki zitakuwa huru kutoza viwango vya riba...
- by adminleo
- June 26th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Nahiari kusema benki badala ya banki, japo yote yanakubalika
Na KEN WALIBORA NILIKWENDA hospitalini majuzi yale kuangaliwa meno nikakutana na mpokezi aitwaye Jennifer Mbwali. Jambo la kwanza...
- by adminleo
- June 19th, 2019
CBK yashikilia tafsiri sahihi ya ‘Bank’ ni ‘Banki’ kwenye noti mpya
Na CHARLES WASONGA MKUU wa kitengo cha mawasiliano katika Benki Kuu ya Kenya Wallace Kantai (pichani) Jumatano alizima mjadala kuhusu...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Benki 5 zaungana kuzifaa biashara ndogo kwa mikopo bila wadhamini
Na BERNARDINE MUTANU Benki tano zimeungana kwa lengo la kutoa mikopo kwa wenye biashara ndogo na za wastani. Wafanyibiashara hao...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Ukweli kuhusu kufungwa kwa Chase Bank wafichuliwa
Na RICHARD MUNGUTI MFANYAKAZI wa ngazi za juu katika benki ya National (NBK) Jumatatu alieleza sababu za kufungwa kwa benki ya Chase...
- by adminleo
- May 20th, 2019
KCB na National Bank kubuni benki yenye thamani ya Sh1 trilioni
Na BERNARDINE MUTANU Kuungana kwa benki ya Kenya Commercial na National Bank kutazaa benki moja kubwa zaidi, iliyo na thamani ya Sh1...
- by adminleo
- May 5th, 2019
CBK yaonya benki kuhusu wafanyakazi walaghai
Na BERNARDINE MUTANU Benki Kuu ya Kenya (CBK) imezitaka benki kuimarisha ukaguzi wa wafanyikazi wake na biashara za nje. Hii ni kutokana...
- by adminleo
- April 25th, 2019
NGILA: Teknolojia pekee haitoshi kuzima wizi wa pesa za benki
Na FAUSTINE NGILA MATUKIO ya wizi wa takribani Sh11.6 milioni wikendi ya Pasaka katika mashine za ATM za benki ya Barclays uliwashtua...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Benki ya Diamond yavuna faida ya Sh11 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU BENKI ya Diamond Trust imetangaza ongezeko la asilimia tisa la faida kabla ya kutozwa ushuru. Katika mwaka...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Benki mashakani kuhusu uuzaji wa nyumba
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA ameishtaki benki kwa kuuza jumba lake kwa bei ya chini na kuomba mahakama kuu iamuru alipwe fidia ya...
- by adminleo
- June 15th, 2018
Benki zilizofanikisha ufisadi NYS kuona cha moto
Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amesema benki ambazo zilitumika kufanikisha wizi wa pesa za umma...
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Benki sita kuchunguzwa zilivyosaidia wizi wa mabilioni
Na BENSON MATHEKA UCHUNGUZI wa kashfa za mabilioni ya pesa kutoka idara za serikali sasa utaelekezwa katika benki ambazo pesa hizo...