• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 2:18 PM

Matiang’i aongoza sherehe ya kumuaga Boinnet

Na CHARLES WASONGA SERIKALI Ijumaa jioni iliandaa sherehe ya kuamuaga rasmi aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Polisi Joseph...

HILLARY MUTYAMBAI: Tajriba pana ya ujasusi

Na BENSON MATHEKA BW Hillary Nzioki Mutyambai aliyeteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta kumrithi Joseph Boinnet kama Inspekta Jenerali wa...

TAHARIRI: Boinnet anaondoka bila kutimiza mengi

NA MHARIRI KUKAMILIKA kwa kipindi cha kuhudumu Bw Joseph Boinett kama Inspekta Jenerali wa Polisi, kunatoa fursa kwa Wakenya kutafakari...

Boinett alifaulu kwa mengi ila alifeli kumaliza ukatili wa polisi

Na MOHAMED AHMED INSPEKTA Jenerali wa Polisi Joseph Boinnet alikamilisha hatamu yake ya miaka minne jana na kuacha afisi hiyo ikiwa na...

Mchakato wa kujaza nafasi ya Boinnet waanza

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne aliwapendekeza watu sita kuwa wanachama wa Tume ya Huduma za Polisi (NPSC) ambayo itapiga...

Boinnet ateua makamanda wapya wa maeneo manane

Na BENSON MATHEKA Inspekta Jenerali wa polisi, Joseph Boinnet, ameteua wakuu wapya wanane wa polisi katika juhudi za kuimarisha usalama...

KURUNZI YA PWANI: Nitazima genge linalohangaisha wakazi Kisauni – Boinnet

NA MOHAMED AHMED GENGE jipya lililozuka katika eneo la Kisauni na kuua watu 10 ndani ya wiki mbili limeanza kuwanyima maafisa wa usalama...

MKUU MPYA WA POLISI: Mchakato wa kujaza nafasi ya Boinnet waanza

Na CHARLES WASONGA HUKU muda wa kuhudumu wa Mkuu wa Polisi Joseph Boinnet ukikaribia kukamilika, mchakato wa kujaza nafasi yake...

Wabunge na maseneta wamtaka Uhuru kumwadhibu Boinnet kuhusu ajali ya Kericho

Na CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wameungana kulaani ajali ya iliyohusisha basi moja la abiria lilitokea katika eneo la Fort...

DPP amtaka Boinnet ampe ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai kwa siku 14

Na ERIC MATARA Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ijumaa alitaka uchunguzi ufanywe kubaini kiini cha mkasa wa bwawa la Patel eneo la...

Serikali haikupewa agizo na korti yoyote, Miguna hakufurushwa – Matiang’i

JOHN NGIRACHU na ELVIS ONDIEKI WAZIRI wa Usalama Dkt Fred Matiang'i Jumanne ametetea vikali serikali kuhusu jinsi ilishughulikia kesi ya...

Kiburi cha Matiang’i, Boinnet na Kihalangwa kimeiletea Kenya aibu kuu – Jaji Odunga

Na RICHARD MUNGUTI KINYUME  na matarajio ya kila mmoja Jaji George Odunga Alhamisi alikataa kuwatimua kazini Waziri Fred Matiang’I ,...