Tag: chiloba
- by T L
- December 22nd, 2021
Chiloba atisha kuzima vituo 60 vya redio
Na CHARLES WASONGA TUME ya Mawasiliano (CA) imetisha kufutilia mbali leseni za kuhudumu na masafa zilizopewa vituo 60 vya redio...
Chiloba sasa ateuliwa kinara wa Mamlaka ya Mawasiliano
Na SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Ezra Chiloba Jumane jioni aliteuliwa kuwa...
Chiloba sasa apata kazi serikalini baada ya kutimuliwa na IEBC
Na VALENTINE OBARA ALIYEKUWA Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Ezra Chiloba, atafungua mwaka kwa hali...
- by adminleo
- November 30th, 2018
IEBC imeoza, hapa uvundo tu – Chiloba
Na WYCLIFFE MUIA ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Ezra Chiloba Alhamisi alifichua uozo zaidi uliokumba...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Chiloba kuitwa bungeni kujibu maswali licha ya kupigwa kalamu
Na CHARLES WASONGA AFISA Mkuu mtendaji wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) aliyefutwa kazi, Ezra Chiloba, huenda akaitwa kufika...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Hatujamtimua Chiloba, tunamtia adabu tu – IEBC
Na PETER MBURU TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumanne imepinga kauli kuwa afisa wake mkuu mtendaji (CEO) Ezra Chiloba ambaye...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
Chiloba sasa ataka Chebukati asukumwe jela kwa kumpiga kalamu
Na RICHARD MUNGUTI Afisa mkuu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Bw Ezra Chiloba aliwasilisha kesi tena mahakamani akipinga...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Uhusiano wangu na Chebukati ni mzuri zaidi, masaibu yangu yanatoka nje – Chiloba
Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwamza Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) aliyesimamishwa kazi kwa muda Ezra...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Makamishna wamtoroka Chebukati wakisema ameshindwa na kazi
Na JUMA NAMLOLA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati Jumatatu ametorokwa na makamishna watatu wa tume...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Chiloba sasa amshtaki Chebukati
Na CHARLES WASONGA AFISA Mkuu Mtendaji wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Alhamisi amewasilisha kesi mahakamani kupinga uamuzi wa...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Makamishna walikubaliana nimsimamishe kazi Chiloba – Chebukati
Na VALENTINE OBARA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Wafula Chebukati, ametetea uamuzi wa kumsimamisha kazi kwa...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Mpasuko IEBC Chebukati akimsimamisha kazi Chiloba
Na WAANDISHI WETU MGAWANYIKO umeibuka upya katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kufuatia uamuzi wa Mwenyekiti wa tume hiyo, Bw...