Tag: dau la maisha
Safari ndefu ya mwanachuo kusaka maisha bora baada ya kuugua ukoma
Na MAUREEN ONGALA MAKOVU ya vidonda miwilini, kuanzia kwa mikono hadi miguu, ndilo thibitisho pekee kwamba Francis Thoya alikuwa ameugua...
Anafuata ndoto zake licha ya kutengwa na mama yake tangu akiwa mtoto
Na SAMMY WAWERU Baada ya kuwa chuoni kwa kipindi cha muda wa miaka minne mfululizo Faith Jeruto ana kila sababu ya kutabasamu. Mwisho...
- by adminleo
- May 17th, 2020
DAU LA MAISHA: Aliacha kazi ya kuajiriwa akaanzisha kampuni ya huduma za usafiri
Na PAULINE ONGAJI ALIAMUA kuacha kazi ya kuajiriwa na kuanzisha kampuni yake ya usafiri. Jina lake ni Vidya Jethwa, 39, Meneja...
- by adminleo
- March 28th, 2020
DAU LA MAISHA: Ajizatiti kupunguza mapuuza ya vijana
Na PAULINE ONGAJI KUNA msemo mmoja ambao asili yake haijulikani, kwamba, ukitaka kuficha kitu kisipatikane na Mwafrika, basi kibanze...
- by adminleo
- March 21st, 2020
DAU LA MAISHA: Aliacha kazi ya benki kupigana na ukeketaji
Na PAULINE ONGAJI LICHA ya kuwa hajakumbana ana kwa ana na madhara yanayotokana na ukeketaji, Wanjiru Wahome amejitwika jukumu la...
- by adminleo
- March 14th, 2020
DAU LA MAISHA: Anahamasisha mtoto wa kike kusomea sayansi
Na PAULINE ONGAJI UFANISI wake kama mhadhiri, mtafiti na mtoa nasaha katika masuala ya sayansi ya kompyuta umemtambulisha sio tu humu...
- by adminleo
- February 22nd, 2020
DAU LA MAISHA: Vita vyake dhidi ya dhuluma za kijinsia vyafanya awe msimamizi wa kijiji
Na PAULINE ONGAJI VITA vyake dhidi ya dhuluma za kijinsia vimempa umaarufu katika jamii yake. Kutana na Christine Namunyak, msimamizi...
- by adminleo
- February 1st, 2020
DAU LA MAISHA: Japo mdogo atumia taji kupiga vita kansa
Na PAULINE ONGAJI HUKU ulimwengu ukipanga kuadhimisha siku ya uhamasishaji wa maradhi ya Kansa juma lijalo, utafiti wa Wizara ya Afya...
- by adminleo
- January 18th, 2020
DAU LA MAISHA: Kajenga himaya ya biashara mtandaoni
Na PAULINE ONGAJI AGHALABU biashara ya uokaji huhusishwa na akina mama na ni watu wachache hudhani kwamba yaweza kuleta mavuno...
- by adminleo
- December 28th, 2019
DAU LA MAISHA: Ni miaka saba sasa tangu akitupe kisu cha ukeketaji
Na PAULINE ONGAJI ALIPOKATA kauli kuachana na kazi ya kukeketa wasichana, bila shaka alitambua kwamba mambo hayangekuwa rahisi hasa...
- by adminleo
- November 30th, 2019
DAU LA MAISHA: Mwenge wa haki za wasichana na wanawake vitongojini
Na PAULINE ONGAJI YEYE ni mmoja wa mabinti ambao wamejitolea kuelimisha wasichana na wanawake katika vitongoji duni vikuu nchini kuhusu...
- by adminleo
- November 16th, 2019
DAU LA MAISHA: Afisa wa afya anayekabili janga la uzazi wa mapema
Na PAULINE ONGAJI TAKWIMU zinaonyesha kwamba idadi ya wasichana wanaoshika mimba na kuzaa wakiwa wangali wachanga imekuwa ikiongezeka...