Tag: dawa
Kemsa lawamani tena hospitali zikikosa dawa
IRENE MUGO na ELIZABETH OJINA HOSPITAL katika kaunti kadhaa zimekumbwa na uhaba wa dawa zikiwemo za kukabili maambukizi ya...
Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa daktari
Na MARGARET MAINA [email protected] MARA nyingi watu wanaugua maradhi mbalimbali, lakini wengi wao hawapendi kwenda...
Dawa za kutibu akili taahira zinapogeuzwa ulevi wa mauti
Na MWANGI MUIRURI Kwa muda mrefu sasa, biashara ya mihadarati ambayo imezua visa vya ujambazi wa kikatili miongoni mwa vijana katika...
Kiini cha kufifia kwa nguvu za kufanya mapenzi
Na LEONARD ONYANGO WENGI wa wanaume walio na tatizo la nguvu za kiume hupendelea kusalia kimya kwani huona aibu kulizungumzia au kwenda...
Dawa bandia za hamu ya mapenzi zinavyohatarisha maisha ya wanaume
NA PAULINE ONGAJI WANAUME humu nchini wamekuwa wakihatarisha maisha yao kwa kutumia kiholela dawa za kuongeza hamu ya mapenzi...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
COVID-19: Magufuli kutuma ndege Madagascar iwachukulie Watanzania ‘dawa’ aina ya chai ya mitishamba
MASHIRIKA na CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema taifa lake litaagiza dawa ya kienyeji ambayo imedaiwa kutibu...
- by adminleo
- March 27th, 2020
CORONA: Onyo baadhi ya dawa zikitumika bila ushauri wa wataalamu zinasababisha upofu
Na MAGDALENE WANJA BODI ya Dawa na Sumu imeonya kwamba matumizi ya dawa za Chloroquine na Hydroxychloroquine yanaweza yakasababisha...
- by adminleo
- March 24th, 2020
CORONA: Wataalamu waonya Wakenya dhidi ya matumizi holela ya dawa
Na MAGDALENE WANJA SHIRIKA la Wanafamasia Nchini (PSK) limewaonya Wakenya dhidi ya kujitibu au kununua dawa zozote za kutibu maradhi ya...
- by adminleo
- November 13th, 2019
Elungata awaonya walanguzi wa dawa za kulevya
Na KALUME KAZUNGU MSHIRIKISHI wa Usalama Ukanda wa Pwani, John Elungata, ametoa onyo kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya wanaonyemelea...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Dawa feki zafurika madukani
Na LEONARD ONYANGO HEWA chafu, maji yenye sumu na kufurika kwa dawa feki na zilizopitwa na wakati ni miongoni mwa hatari zaidi...
- by adminleo
- October 30th, 2019
Afueni kwa serikali za kaunti baada ya Kemsa kukubali kuzipa dawa kwa mkopo
Na CHARLES WASONGA KERO ya uhaba wa dawa katika hospitali za umma katika kaunti sasa huenda ikapungua. Hii ni baada ya Mamlaka ya...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Gavana ataka kaunti ziwe na uhuru wa kununua dawa zao
Na OSCAR KAKAI GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Prof John Lonyangapuo ameisuta serikali kuu kuhusu sera ya kulazimu serikali za...