• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:53 PM

Kampuni yagundua kiwango kikubwa cha dhahabu

BENSON AMADALA Na DERICK LUVEGA UCHIMBAJI wa dhahabu Magharibi mwa Kenya unatarajiwa kuongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya kampuni ya...

Wakazi wa Pwani kuhamishiwa bara

Na MUSA IDDI WAKAZI wa kaunti za Pwani ya Kenya zinazopakana na Bahari Hindi watahamishiwa bara, baada ya kugunduliwa kwa kiasi kikubwa...

Muuzaji wa dhahabu feki apatikana mashtaka ya kujibu

Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mkuu wa Nairobi Francis Andayi Ijumaa alimpata na kesi ya kujibu mfanyabiashara Bw Kevin Obia alimaarufu Kevin...

Kipruto ashinda dhahabu mbio za mita 3000 kuruka viunzi na vidimbwi vya maji

Na JAMES MWAMBA na CHARLES WASONGA ANAYESHIKILIA rekodi ya dunia katika mbio ya mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase)...

Kenya yarejeshea TZ dhahabu ya Sh100m

PETER MBURU na MARY WANGARI [email protected] KENYA Jumatano ilirejesha kilo 35 za dhahabu ambayo ilinaswa humu nchini na...

Akasirisha hakimu kutaka dhamana ya Sh10,000 katika kashfa ya Sh300m

Na Richard Munguti MMOJA wa washukiwa 15 wa kashfa ya dhahabu ya Sh300 milioni alizomewa na hakimu mkuu mahakama ya Milimani Nairobi...

Kinoti, Wetang’ula watofautiana kuhusu dhahabu feki

Na LEONARD ONYANGO MKURUGENZI wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti ametofautiana na Seneta wa Bungoma Moses Wetang’ula...

Wetang’ula asema sakata ya dhahabu ni suala dogo kwake

Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Ford Kenya Moses Wetang’ula amekanusha madai kwamba amealikwa na Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...

Washukiwa wakuu sakata ya dhahabu waachiliwa kwa dhamana ya Sh1.5m

Na Richard Munguti MSHUKIWA mkuu katika kashfa ya biashara ya dhahabu feki pamoja na wenzake wawili waliachiliwa kwa dhamana ya Sh1.5...

SAKATA YA DHAHABU FEKI: Raila ajikaanga

MACHARIA MWANGI Na CHARLES LWANGA HATUA ya Kiongozi wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga kujitokeza kueleza mchango wake kwenye sakata ya...

Mrengo wa Ruto wataka Raila aandikishe taarifa kuhusu sakata ya dhahabu bandia

Na CHARLES WASONGA na DPPS BAADHI ya wabunge wa Jubilee kutoka Narok wamemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti...

Gusa Matiang’i uone – Raila

Na RUTH MBULA na JOSIAH ODANGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewakashifu vikali wale wanaomlaumu Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred...