• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Wanyimwa mlo kwa kusengenya bi harusi

Na LEAH MAKENA KAYOLE, NAIROBI AKINA mama waliohudhuria harusi ya mtaani walipata aibu ya mwaka waliponyimwa mlo. Watano hao...

Ajuta kudai kipusa ni ‘slay queen’

KHWISERO, KAKAMEGA Na DENNIS SINYO JOMBI wa hapa aliona cha mtema kuni kwa kudai mwanadada mmoja alikuwa 'slay queen'. Penyenye...

Ahamia kwa demu kuhepa mke kelele

Na NICHOLAS CHERUIYOT LITEIN, KERICHO POLO wa hapa alizua mshangao alipofunganya virago kuhamia kwa kipusa mpango wake wa kando...

Patashika yazuka katika mazishi ya mzee

Na JOHN MUSYOKI THAANA, MASINGA KULIZUKA sokomoko katika mazishi ya mzee wa hapa watu wa ukoo walipoikemea vikali familia ya marehemu...

Pasta mpenda pesa abaki bila waumini

Na SAMUEL BAYA LANGAS, NAKURU PASTA wa kanisa moja la mtaani alibaki pweke kanisani baada ya waumini kumtoroka wakidai ni...

Jombi alipuka kukataliwa na demu ‘kupe’

Na LUDOVICK MBOGHOLI MWANDONI, MOMBASA JOMBI mmoja mtaani hapa aliwaka kwa hasira demu alipokataa kuzungumza naye chemba baada ya...

Tajiri azushia pasta kunyimwa kiti kanisani

Na Leah Makena KISAYANI, KIBWEZI Mama wa hapa alishangaza washiriki alipotwaa vitambaa alivyokuwa amepeana kanisani na kuapa...

Shuga mami atupa polo nje kugundua ana mwingine

Na TOBBIE WEKESA KABETE, KIAMBU Polo mmoja alijipata akihangaika mtaani hapa baada ya kutimuliwa na shuga mami kwa kukaidi...

Kipusa agawa asali kulipiza kisasi

Na Tobbie Wekesa KABUCHAI, BUNGOMA POLO mmoja wa eneo hili, alishindwa kujieleza alipogundua kuwa mkewe alitekeleza tishio lake la...

Sponsa afukuza demu kwa kukojoa kitandani

NA CORNELIUS MUTISYA GREEN PARK,  ATHIRIVER DEMU mmoja alifukuzwa na sponsa wake mtaani hapa kwa sababu ya kukojoa...

Siri ya mke wa nyumba mbili yafichuka

Na TOBBIE WEKESA MWIKI, NAIROBI Kalameni mmoja mtaani hapa, alipigwa na butwaa alipogundua kuwa mwanadada aliyeita mkewe alikuwa...

Shugamami atimua polo kutesa familia

NA NICHOLAS CHERUIYOT KERICHO MJINI MAMASUKARI wa eneo hili, alimfurusha barobaro kwake alipogundua kwamba kijana huyo aliacha mke na...