Tag: ELACHI
Elachi atunukiwa Unaibu Waziri Uhuru akipanua serikali yake
Na COLLINS OMULO Aliyekuwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi amejiunga na serikali ya Rais Uhuru Kenyatta baada ya kuteuliwa waziri...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Spika wa bunge la kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi ajiuzulu
Na MARY WANGARI SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amejiuzulu; akimuachia naibu wake John Kamangu majukumu hadi...
- by adminleo
- July 28th, 2020
Kizaazaa Nairobi spika Beatrice Elachi akijifungia ofisini
Na COLLINS OMULO KIZAAZAA kimeshuhudiwa Jumanne katika Bunge la Kaunti ya Nairobi ambapo Spika Beatrice Elachi amejifungia ofisini...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Elachi amkataa Ann Mwenda kuwa naibu mteule wa Sonko
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amepatwa na pigo baada ya jina la Ann Mwenda aliyemteua kuwa naibu wake kukataliwa na...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Makabiliano mapya baina ya madiwani yatarajiwa Nairobi
NA COLLINS OMULO MALUMBANO zaidi yanatarajiwa Jumatatu katika Kaunti ya Nairobi huku viongozi wapya walioidhinishwa kutwaa nyadhifa za...
- by adminleo
- October 29th, 2019
Ghasia zaendelea bunge la Nairobi kuhusu Elachi
Na COLLINS OMULO VUTA n'kuvute kwa mara nyingine imeshuhudiwa tena katika Bunge la Kaunti ya Nairobi Nairobi madiwani wakikabiliana...
- by adminleo
- October 25th, 2019
Elachi aongoza sherehe ya kuapishwa kwa wanachama wapya wa bodi ya huduma za bunge la Nairobi
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi mnamo Jumatano aliongoza hafla fupi ya kuapishwa kwa wanachama...
- by adminleo
- September 24th, 2019
Elachi ajitenga na Mariga
Na CHARLES WASONGA IDADI ya viongozi wa Jubilee wanaojitenga na mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa Kibra McDonald Mariga...
- by adminleo
- September 17th, 2018
TAHARIRI: Madiwani wakome kutatiza maafisa
NA MHARIRI KUMEKUWA na ripoti mbalimbali kuhusiana na viongozi wa kaunti, wakiwemo magavana, maspika na mawaziri, viongozi wa wengi au...
- by adminleo
- September 10th, 2018
BEATRICE ELACHI: Ghasia ofisini zamsukuma kujificha chooni
Na PETER MBURU GHASIA na vioja vilitawala bunge la Kaunti ya Nairobi Jumatatu, wakati madiwani walivamia Afisi ya Spika Beatrice Elachi...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Elachi alilia Jubilee imwokoe
Na BRIAN OCHARO SPIKA wa bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi ametaja hatua ya wawakilishi wadi wa kaunti hiyo kumng’atua kutoka...