Tag: elimu
DIGRII ZA MAJUTO: Vibarua licha ya kusoma
Na BENSON MATHEKA UKOSEFU wa kazi nchini umefikia kiwango cha kutisha na kulazimu vijana wengi wanaofuzu katika vyuo vikuu kufanya kazi...
Wataalamu washutumu vyuo vikuu kwa kutoa mafunzo duni
Na BENSON MATHEKA KUONGEZEKA kwa idadi ya vijana wanaohitimu kutoka vyuo vikuu na kukosa au kushindwa kufanya kazi inayolingana na...
Shule za kibinafsi zaomba msaada
Na SAMMY WAWERU Baadhi ya wamiliki wa shule za kibinafsi nchini wameiomba serikali kuwasaidia kuafikia mahitaji yanayotakikana ili...
Dalili serikali itafungua shule mwezi Oktoba
NA FAITH NYAMAI UWEZEKANO wa shule, taasisi za elimu na vyuo vikuu kufunguliwa mwezi ujao wa Oktoba unazidi kuongezeka baada ya Waziri...
Kitabu cha kuwaelimisha watoto kuhusu corona
Na DIANA MUTHEU KUWEPO kwa janga la corona nchini kulilemaza na kupelekea kufungwa kwa sekta nyingi, mojawazo ikiwa elimu. Watoto...
Wazazi wanaopinga elimu ya kijamii waonywa
Na Maureen Ongala KAIMU Kamishna wa Kaunti ya Kilifi, Bw Josephat Mutisya, ameonya wazazi ambao hawatapeleka watoto wao kuhudhuria...
- by adminleo
- August 8th, 2020
Wizara yarudia kuhalalisha vyeti vya elimu
Na WANDERI KAMAU WIZARA ya Elimu imeanza tena kuhalalisha vyeti vya masomo, baada ya kuvisimamisha tangu Machi kutokana na janga la...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
‘Corona ilinisukuma kugeuza shule yangu vyumba vya kilimobiashara’
NA MWANGI MUIRURI BAADA ya kufundisha wanafunzi wa shule za msingi nchini kwa miaka 21, James Kung’u aliamua kugura kutoka ajira ya...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
TAHARIRI: Pendekezo la vyuo laonyesha ubinafsi
NA MHARIRI MJADALA kuhusu kurejelea masomo kabla ya Januari mwaka huu, unaibua maswali mazito kuhusu wadau wa sekta ya...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
WASONGA: Wizara itoe fedha kwa shule kulipa wafanyakazi
Na CHARLES WASONGA RAFIKI yangu ambaye ni mwalimu mkuu katika shule moja ya upili Kaunti ya Nyandarua, juzi aliniambia kuwa walinzi...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
ONYANGO: Miundomsingi katika shule iboreshwe kabla ya Januari
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imelaza damu tangu Waziri wa Elimu George Magoha alipotangaza kuwa hakutakuwa na masomo mwaka huu. Hakuna...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Saidieni shule za kibinafsi zisifilisike, Magoha awarai wazazi
WIZARA ya Elimu imewarai wazazi wenye uwezo kifedha kuwasaidia walimu wa shule za kibinafsi, ili shule hizo zisifilisike kutokana na janga...