Tag: feki
Wawili wanaswa na noti feki za Sh750 milioni
WINNIE A ONYANDO Washukiwa wawili wa pesa bandia ya Ksh750 milioni wamekamatwa. Polisi wanaendelea kufanya upelelezi kuhusiana na...
Raia wa TZ akana kuuza vifaa feki vya kupima Ukimwi Kenya
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Tanzania anayefanya biashara nchini Kenya Jumatatu alishtakiwa kwa kuuza vifaa feki vya kupima ugonjwa hatari...
Makachero wamnyaka ‘sponsa feki’ jijini
Na CECIL ODONGO MWANAMUME anayedaiwa kuwahadaa wasichana wa vyuo vikuu kwamba yeye ni tajiri anayeweza kuwafadhili waishi maisha ya...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Barakoa na sanitaiza feki zafurika sokoni
JAMES MURIMI Na BENSON MATHEKA Huku idadi ya wahudumu wa afya wanaoambukizwa virusi vya corona ikiongezeka, imebainika kuwa serikali...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Mchina ndani kwa kuuza vifaa feki vya corona
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI Mkuu wa kampuni moja ya Uchina alishtakiwa Jumatatu kwa kuuza bidhaa feki za kupima ugonjwa wa...
- by adminleo
- October 19th, 2019
Nchi ya wakora
Na WAANDISHI WETU KATIKA siku za hivi karibuni, Wakenya wamekuwa wakipoteza pesa na mali yao mikononi mwa matapeli wa aina mbalimbali,...
- by adminleo
- September 24th, 2019
TEKNOHAMA: Facebook kuzima habari feki za tiba
Na LEONARD ONYANGO MITANDAO ya kijamii ni sawa na maji ya mafuriko; hubeba takataka na vitu vya thamani. Licha ya mitandao ya kijamii...
- by adminleo
- March 20th, 2019
TAHARIRI: Pesa feki ni hatari kwa uchumi wetu
NA MHARIRI TANGU mwaka huu uanze, kumekuwa na ongezeko la visa vya watu kupatikana wakiwa na pesa zinazoshukiwa kuwa bandia. Mwezi...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Melly asafisha kozi zinazodaiwa kuwa ‘feki’
Na CAROLYNE AGOSA MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge kuhusu Elimu na Utafiti Bw Julius Melly, amepuuzilia ripoti ya hivi majuzi kwamba kozi...
- by adminleo
- February 20th, 2019
NGILA: Tovuti za habari feki ni tisho kwa taaluma ya uanahabari
Na FAUSTINE NGILA YAMKINI kila mtu anayetegemea mitandao ya kijamii kupata habari za matukio ya kila siku amekumbana na vichwa vya...
- by adminleo
- June 27th, 2018
TAHARIRI: Walaghai wasiendelee kukosesha taifa mabilioni
Na MHARIRI UFICHUZI wa Halmashauri ya Kukabiliana na Bidhaa Ghushi Kenya (ACA) kwamba serikali inapoteza Sh200 bilioni kila mwaka...
- by adminleo
- June 27th, 2018
Bidhaa feki huipotezea serikali Sh200 bilioni – Ripoti
Na WANDERI KAMAU SERIKALI hupoteza Sh200 bilioni kila mwaka kutokana na uingizaji wa bidhaa ghushi nchini. Hii ni licha ya mikakati...