• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Mwanamume ashambuliwa na kuuawa na fisi eneo la Juja

Na LAWRENCE ONGARO MWANAMUME aliyekuwa na umri wa miaka 35 mnamo Alhamisi usiku alivamiwa na kuuawa na fisi katika kijiji cha Athi,...

Familia ya aliyeliwa na fisi yataka fidia kutoka kwa serikali

Na LAWRENCE ONGARO FAMILIA moja katika kijiji cha Ndarugu-Komo, Kaunti ya Kiambu, inalilia haki baada ya mwanamume mmoja katika familia...

Waiga sauti za fisi ili kuiba mifugo usiku bila bughudha

Na PIUS MAUNDU WAFUGAJI kutoka eneo la Malili, Kaunti ya Makueni wanaishi kwa hofu, kutokana na uvamizi wa wezi wa mifugo ambao wamekuwa...

FATAKI: Fisi si madume pekee, akina dada pia ni hatari kubwa!

Na PAULINE ONGAJI SIJUI hili wazo la kwamba madume pekee ndio huwa na tabia ya ufisi wanapomuona binti hasa mrembo, lilitoka wapi. Ikiwa...

Mchungaji hali mahututi baada ya kuvamiwa na fisi

NA CHARLES WANYORO MWANAUME mwenye umri wa miaka 54, kutoka Kaunti ya Marsabit, amelazwa katika hospitali ya Kenyatta akiwa katika hali...

Fisi waliolishwa sumu wavamia wakazi

NA BRUHAN MAKONG KUONGEZEKA kwa visa vya fisi kuvamia wakazi katika kaunti ya Wajir kumechangiwa na hali ya wanyama hao kutiliwa sumu na...

Fisi afunzwa adabu kwa kutamani visivyolika

Na JOHN MUSYOKI KITUNDU, MBOONI KALAMENI mmoja wa hapa alijipata kona mbaya alipofumaniwa akitongoza mke wa jirani yake...