• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 12:50 PM

Afueni baada ya masoko Githurai kufunguliwa

NA SAMMY WAWERU Wafanyabiashara wa masoko ya Githurai wamepata afueni baada ya kuruhusiwa kuendeleza shughuli zao, wiki mbili baada ya...

Sh200m kutolewa kujenga soko la kisasa Githurai 45

Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI kuu inapanga kujenga soko la kisasa eneo la Githurai 45 ili kupunguza msongamano uliyopo kwa sasa. Mbunge...

Hofu Githurai kuhusu kubomolewa kwa soko kuu

Na SAMMY WAWERU Hali ya wasiwasi imetanda katika soko la Jubilee, mtaani Githurai 45 Kaunti ya Kiambu kufuatia madai huenda litabomolewa...

RASHID SAKA: Mpanguaji wa mikwaju motomoto anayepania kuinyakia Chelsea

Na SAMMY WAWERU MSEMO kwamba samaki mkunje angali mbichi unawiana na maisha ya ugolikipa ya mvulana Rashid Saka kutoka mtaa wa Githurai,...

Wakazi wa Githurai 45 waiomba mahakama imwachilie polisi akawahudumie

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu Jumatano iliombwa imwachilie afisa wa polisi Titus Ngamau Musila na mwanamuziki wa bendi ya 'Kithangaini...