• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

HADITHI: Pengo asononekea hadhi ya chini wanayopewa walimu katika jamii

NA SHIUNDU MUKENYA VISA vya dharau kwa walimu vilimfanya Pengo awazie upya kuhusu taaluma yake. Alikumbuka jinsi viongozi kwingineko...

HADITHI: Sindwele na Pengo wawapa wenzao ‘maagano spesheli’

NA SHIUNDU MUKENYA SHUGHULI za kawaida zilianza kuchukua sura tena baada ya likizo fupi. Shuleni Sidindi, shughuli ziling’oa nanga...

UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Uchambuzi wa hadithi ‘Masharti ya Kisasa’ (Alifa Chokocho)

Na CHRIS ADUNGO ANWANI ya hadithi hii inasawiri maudhui yaliyomo ndani yake. Mambo yote yanayomkuta Dadi yanatokana na yeye...

VITUKO: Sindwele amfurusha Msodai nyumbani kwa Pengo kwa kukerwa na maudhi yake

NA SAMUEL SHIUNDU MSODAI alipochapuka kutoka nyumbani mwa jiraniye Pengo, alibisha kwa Pengo. “Karibu ndani shemeji, naelekea madukani...

VITUKO: Nia fiche ya Farida kumfichulia Pengo njama ya Mwinyi na Tumbo

Na SAMUEL SHIUNDU Walifika faraghani na kuagiza chakula. Pengo hakula nyama kwa sababu za kidini. “Huu ni mwezi mtukufu wa pasaka...