• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Wabunge wakataa pendekezo la kupunguza riba ya mikopo ya HELB

Na Faith Nyamai WANAOHITIMU kutoka vyuo vikuu wataendelea kulipa mikopo yao kwa riba ya asilimia nne baada ya wabunge kukataa pendekezo...

Wabunge wamtaka Rais afute madeni ya wanaoandamwa na Helb

Na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Wabunge Vijana (KYPA) wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta afutilie mbali madeni ambayo baadhi ya wahitimu wa...

Vitambulisho hukosesha maelfu mikopo ya Helb

Na FAITH NYAMAI MAELFU ya wanafunzi wa vyuo kikuu walio na umri wa chini ya miaka 18 hawapati mikopo ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu...

Ruto kuishtaki HELB kuhusu mikopo

NA VITALIS KIMUTAI KINARA wa Chama cha Mashinani (CCM), Bw Isaac Ruto, amewataka mawakili kuwasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya...

FUJO JIJINI: Tutaandamana kupinga vyuo kuongeza karo – Babu Owino

Na CHARLES WASONGA HUENDA fujo zikashuhudiwa katikati wa jiji la Nairobi na nje ya majengo ya Mahakama ya Milimani Mbunge wa Embakasi...

Shinikizo Amina ajiuzulu kuhusu mikopo ya HELB

Na SHABAN MAKOKHA UTATA unaendelea kushuhudiwa kuhusiana na ulipaji wa zaidi ya Sh7.2 bilioni zilizokopeshwa wanafunzi wa vyuo vikuu na...

WASONGA: NCPB na HELB zianze miradi mbadala ya kujichumia fedha

Na CHARLES WASONGA BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) na ile ya Kutoa Mikopo ya Kufadhili Elimu ya Juu (HELB) ni asasi...

PETER: Helb ifahamu wengi walionufaika bado hawana kazi

Na PETER MBURU BODI ya Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Helb) wiki hii imetangaza kuwa itaanza kutumia asasi za usalama...

Waliokaidi kulipa mikopo ya HELB kuwindwa na polisi hadi vijijini

NA CECIL ODONGO BODI ya Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Juu (HELB), sasa itaanza kutumia polisi kuwaandama zaidi ya watu 74,000...

TAHARIRI: HELB ipunguze faini ya mikopo

NA MHARIRI JUMATANO Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Vyuo (HELB) inaandaa kikao cha kutangaza mkakati wake mpya wa mwaka 2019. Kwenye...

Tabasamu kwa wanafunzi Helb ikitoa Sh13.7b kufadhili masomo

Na Faith Nyamai HATIMAYE Bodi ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu (HELB) imetoa Sh 13.7b kufanikisha...

Wanafunzi vyuoni kutumia kadi za kidijitali kupokea mikopo ya HELB

NA PETER MBURU Jumla ya wanafunzi 69, 151 ambao watajiunga na vyuo vikuu kuanzia Septemba mwaka huu watapokea pesa za mkopo wa HELB kwa...