Tag: helb
Wabunge wakataa pendekezo la kupunguza riba ya mikopo ya HELB
Na Faith Nyamai WANAOHITIMU kutoka vyuo vikuu wataendelea kulipa mikopo yao kwa riba ya asilimia nne baada ya wabunge kukataa pendekezo...
- by adminleo
- November 20th, 2019
Wabunge wamtaka Rais afute madeni ya wanaoandamwa na Helb
Na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Wabunge Vijana (KYPA) wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta afutilie mbali madeni ambayo baadhi ya wahitimu wa...
- by adminleo
- July 13th, 2019
Vitambulisho hukosesha maelfu mikopo ya Helb
Na FAITH NYAMAI MAELFU ya wanafunzi wa vyuo kikuu walio na umri wa chini ya miaka 18 hawapati mikopo ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Ruto kuishtaki HELB kuhusu mikopo
NA VITALIS KIMUTAI KINARA wa Chama cha Mashinani (CCM), Bw Isaac Ruto, amewataka mawakili kuwasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya...
- by adminleo
- February 27th, 2019
FUJO JIJINI: Tutaandamana kupinga vyuo kuongeza karo – Babu Owino
Na CHARLES WASONGA HUENDA fujo zikashuhudiwa katikati wa jiji la Nairobi na nje ya majengo ya Mahakama ya Milimani Mbunge wa Embakasi...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Shinikizo Amina ajiuzulu kuhusu mikopo ya HELB
Na SHABAN MAKOKHA UTATA unaendelea kushuhudiwa kuhusiana na ulipaji wa zaidi ya Sh7.2 bilioni zilizokopeshwa wanafunzi wa vyuo vikuu na...
- by adminleo
- February 24th, 2019
WASONGA: NCPB na HELB zianze miradi mbadala ya kujichumia fedha
Na CHARLES WASONGA BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) na ile ya Kutoa Mikopo ya Kufadhili Elimu ya Juu (HELB) ni asasi...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
PETER: Helb ifahamu wengi walionufaika bado hawana kazi
Na PETER MBURU BODI ya Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Helb) wiki hii imetangaza kuwa itaanza kutumia asasi za usalama...
- by adminleo
- February 20th, 2019
Waliokaidi kulipa mikopo ya HELB kuwindwa na polisi hadi vijijini
NA CECIL ODONGO BODI ya Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Juu (HELB), sasa itaanza kutumia polisi kuwaandama zaidi ya watu 74,000...
- by adminleo
- February 20th, 2019
TAHARIRI: HELB ipunguze faini ya mikopo
NA MHARIRI JUMATANO Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Vyuo (HELB) inaandaa kikao cha kutangaza mkakati wake mpya wa mwaka 2019. Kwenye...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Tabasamu kwa wanafunzi Helb ikitoa Sh13.7b kufadhili masomo
Na Faith Nyamai HATIMAYE Bodi ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu (HELB) imetoa Sh 13.7b kufanikisha...
- by adminleo
- August 15th, 2018
Wanafunzi vyuoni kutumia kadi za kidijitali kupokea mikopo ya HELB
NA PETER MBURU Jumla ya wanafunzi 69, 151 ambao watajiunga na vyuo vikuu kuanzia Septemba mwaka huu watapokea pesa za mkopo wa HELB kwa...