Tag: hongo
MAUYA OMAUYA: Amri ya kafyu imegeuka soko la rushwa
Na MAUYA OMAUYA JUMAPILI iliyopita, binamu wangu anayeishi mjini Nakuru alinipigia simu kunieleza amesafiri hadi Nyamira kuwasalimu kina...
Wabunge 4 wa Tangatanga wakamatwa kwa kuhonga wapigakura
JARED NYATAYA na CHARLES WASONGA WABUNGE wanne wa mrengo wa Tangatanga wangali wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Bungoma baada...
Mwaniaji wa udiwani wa UDA akamatwa kwa kuhonga wapigakura
RUTH MBULA Na SAMMY WAWERUUDA MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kisii walimtia nguvuni mgombea wa kiti cha udiwani kwa tiketi ya chama...
Fujo, hongo kwenye uchaguzi mdogo Nakuru
NA ERIC MATARA WANAHABARI watatu wamepata majeraha kwenye ghasia ambazo zimeshuhudiwa Alhamisi asubuhi katika kituo cha kupigia kura cha...
Diwani ang’olewa uongozini kutokana na hongo
Na RICHARD MUNGUTI DIWANI (MCA) wa Wadi ya Karen kaunti ya Nairobi Bw David Njilithia Mberia Alhamisi alipoteza kiti chake baada ya...
Chifu asimamishwa kazi kwa kutafuna hongo ya Sh30,000
Na RICHARD MUNGUTI NAIBU wa chifu katika kata ya Highridge, Nairobi Jumatatu aliagizwa asimamishwe kazi mara moja baada ya kushtakiwa...
- by adminleo
- July 10th, 2020
Kitoweo cha trafiki chamwagwa baada ya vizuizi kuondolewa barabarani
Na WAANDISHI WETU POLISI wengi wa trafiki sasa watapoteza mfereji wa sehemu kubwa ya mapato yao kufuatia agizo la wakuu wao kuondoa...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Naibu Kamishna mpenda hongo abambwa kwa utapeli wa mashamba
NA MWANGI MUIRURI NAIBU Kamishna katika Kaunti ya Murang’a amekamatwa na maafisa wa kupambana na ufisadi kwa madai ya utapeli wa...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Chifu anaswa akimumunya hongo
NA CHARLES WANYORO Maafisa wa upelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) walimkamata chifu mmoja katika Kaunti ya...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Raha mitandaoni mwanamume kutoweka na hongo ya polisi Embu
NA ELVIS ONDIEKI MWANAMUME katika Kaunti ya Embu, aliwaacha polisi wa trafiki vinywa wazi baada ya kutoweka na mabunda ya noti...
- by adminleo
- November 25th, 2019
Polisi wanyakwa wakimeza hongo
Na MAUREEN ONGALA MAAFISA wawili wa polisi walitiwa mbaroni wikendi walipofumaniwa na Kamanda wa polisi eneo la Pwani, Bw Rashid Yaqub,...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Mutyambai azima polisi waliozoea hongo katika vizuizi barabarani
Na CHARLES WASONGA INSPEKTA Jenerali wa Polisi Hillary Mutyambai Jumatano ameamuru kuondolewa kwa vizuizi na vituo vya ukaguzi wa magari...