Tag: ingwe
- by T L
- October 29th, 2021
Ingwe imani tele itafufuka timu zikijiandaa kwa ligi
Na CECIL ODONGO AFC Leopards leo ina matumaini tele ya kutokomeza wimbi la matokeo duni itakapochuana na Ulinzi Stars kwenye mechi ya...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Sababu ya mashabiki wa Ingwe kukosa imani na Rupia
Na GEOFFREY ANENE Mashabiki wa AFC Leopards wamemlia sana mshambuliaji Elvis Rupia baada ya kupoteza penalti timi hiyo ikilimwa na...
- by adminleo
- November 30th, 2019
K’Ogalo, Ingwe kusakata mechi zao za ligi KPL
Na JOHN ASHIHUNDU LICHA ya matatizo ya kifedha yanayokumba timu za Gor Mahia na AFC Leopards baada ya wadhamini wao SportPesa kujiondoa,...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Kamati yaundwa kupokeza mamlaka Ingwe
Na JOHN ASHIHUNDU Muungano wa wawaniaji wa nyadhifa mbalimbali kwenye uchaguzi ujao wa klabu ya AFC Leopards, kwa ushirikiano na...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Hatimaye Ingwe yapata mnyonge wa kunyonga
NA GEOFFREY ANENE AFC Leopards ilimaliza ukame wa mechi tano bila ushindi kwa kulipiza kisasi dhidi ya Mount Kenya United katika ushindi...
- by adminleo
- May 19th, 2019
#MashemejiDerby: Kivumbi Kasarani
Na GEOFFREY ANENE Kivumbi kinatarajiwa katika mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa katika kalenda ya soka ya Kenya wakati mahasimu wa...
- by adminleo
- May 17th, 2019
Msisimko Ingwe na Gor zikionana tena debi ya KPL
Na JOHN ASHIHUNDU MAHASIMU wa jadi, AFC Leopards na Gor Mahia watakutana Jumapili kwa mara ya mwisho msimu huu katika mechi ya mkondo wa...
- by adminleo
- April 24th, 2019
Nzoia kualika Stima, Leopards ikichuana na Sharks gozini KPL
Na CHRIS ADUNGO NZOIA Sugar watakuwa na kocha mpya watakaposhuka dimbani hii leo Jumatano kuvaana na Western Stima katika mchuano wa Ligi...
- by adminleo
- April 16th, 2019
KPL kutoa uamuzi kuhusiana na gozi la Leopards, SoNy
Na GEOFFREY ANENE MECHI ya mkondo wa pili ya Ligi Kuu kati ya SoNy Sugar na AFC Leopards inatarajiwa kuamuliwa leo Jumanne ama kama...
- by adminleo
- April 9th, 2019
Leopards na Nzoia zatamba, Rangers ikishuka zaidi KPL
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards na Nzoia Sugar ndizo klabu zilizoimarika zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu baada ya mechi za raundi ya 21...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Ingwe mawindoni kusafisha rekodi yake duni dhidi ya Stima
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards inatarajiwa Jumamosi kuwa na kibarua kigumu dhidi ya Western Stima itakapoalika klabu hii kutoka kaunti ya...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Mashabiki wazidi kutamaushwa na matokeo ya Ingwe
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa AFC Leopards sasa wanajiuliza “timu yetu ilikosea wapi?” baada ya vichapo kuizidi huku ligi...