• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 9:41 AM

Ivory Coast wampiga kalamu kocha Patrice Beaumelle

Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka la Ivory Coast (FIF) limemtimua kocha Patrice Beaumelle baada ya mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 43...

Uhispania wakomoa Ivory Coast na kufuzu kwa nusu-fainali za Olimpiki dhidi ya wenyeji Japan

Na MASHIRIKA SUBIRA ya Uhispania kufuzu kwa nusu-fainali ya soka ya Olimpiki kwa mara ya kwanza baada ya miaka 21 iliwavutia heri baada...

Ivory Coast na Morocco wajikatia tiketi za kushiriki fainali za AFCON 2022

Na MASHIRIKA USHINDI wa 3-0 uliosajiliwa na Ivory Coast dhidi ya Niger uliwakatia tiketi ya kushiriki fainali za Kombe la Afrika (AFCON)...

Watu watano wauawa katika fujo nchini Ivory Coast

CHARLES WASONGA na AFP ABIDJAN, Ivory Coast WATU watano wameuawa huku wengine 100 wakijeruhiwa katika machafuko ya siku tatu...

Shule zafungwa Ivory Coast baada ya askari jela kulimana na wanachuo

CHARLES WASONGA Na MASHIRIKA BOUAKE, Ivory Coast SHULE kadha jijini hapa  zilifungwa Ijumaa kama hatua ya kupinga kisa ambapo askari...