Tag: Jacque Maribe
Korti yakubali kesi ya Jowie, Maribe kusikilizwa hadharani
Na HILARY KIMUYU KESI ya Joseph Irungu, maarufu Jowie, na mwanahabari Jacque Maribe wanaodaiwa kuua mfanyabiashara Monica Kimani...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Wanahabari walioshtakiwa kwa mauaji 2018
Na RICHARD MUNGUTI WANAHABARI Jacque Maribe na Moses Dola Otieno ni miongoni mwa watu walioshtakiwa kwa mauaji 2018. Bi Maribe ambaye ni...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Itumbi apamba mitandao kwa vilio baada ya Maribe kuzidi kuzuiliwa
Na PETER MBURU MFANYAKAZI wa Ikulu Dennis Itumbi na ambaye pia alikuwa mpenziwe mwanahabari wa runinga ya Citizen anayekabiliwa na...
- by adminleo
- October 25th, 2018
Royal Media yakana kumtelekeza Maribe, yaomba apewe dhamana
Na CECIL ODONGO SHIRIKA la Habari la Royal Media Services (RMS) ambalo ni mwaajiri wa mwanahabari wa runinga ya Citizen, Jacky Maribe,...
- by adminleo
- October 24th, 2018
MAPENZI MAHAKAMANI: Jacque na Jowie kujua hatima yao Oktoba 30
Na RICHARD MUNGUTI KATIKA siku iliyojaa mapenzi na kukumbatiana mahakamani, mwanahabari Jacque Maribe na mchumba wake Bw Joseph Kuria...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Wanahabari na mawakili waonywa dhidi ya kujadili kesi ya Monica
Na RICHARD MUNGUTI MTANGAZAJI wa runinga Jacque Maribe na mchumba wake Joseph Irungu Jumatano walirudishwa rumande kwa siku saba zaidi...
- by adminleo
- October 16th, 2018
Jacque Maribe na mchumba wake waanza safari ya kujinasua
Na Richard Munguti MTANGAZAJI wa runinga Jacque Maribe na mchumba wake Jumatatu walikanusha shtaka la kumuua mfanyabiashara Monica...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Jacque Maribe atumwa Mathari kupimwa akili
Na RICHARD MUNGUTI MTANGAZAJI wa runinga Jacque Wanjiru Maribe Jumanne alitumwa kupimwa akili kabla ya kushtakiwa rasmi kwa...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Babaye Jacque Maribe ahofia maisha ya bintiye
GUCHU NDUNG’U NA NDUNG’U GACHANE FAMILIA ya mwanahabari Jacque Maribe, imeeleza hofu ya maisha mwana wao kuwa hatarini, iwapo...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Jacque Maribe kufanyiwa uchunguzi wa DNA kuhusu mauaji
BENSON MATHEKA Na ERIC WAINAINA MWANAHABARI Jacque Wanjiru Maribe, anayechunguzwa kuhusiana na mauaji ya Monica Nyawira Kimani,...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Jacque Maribe kizimbani kuhusu kesi ya mauaji inayomkabili mchumba wake
Na BENSON MATHEKA MWANAHABARI wa televisheni ya Citizen, Jacque Maribe (pichani), alifikishwa katika mahakama ya Kiambu Jumatatu...