Tag: jinsia
- by T L
- December 11th, 2021
Korti ya Juu yashikilia uamuzi kuhusu jinsia
JOSEPH WANGUI na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Juu imetupilia mbali ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah la kubatilisha uamuzi uliotaka...
Kobia ataka maafisa waadilifu NGEC
Na KNA WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Jinsia, Miradi Maalum na Masuala ya Wazee, Prof Margaret Kobia ametoa wito kwa jopo la watu saba...
Wenye jinsia mbili walia kubaguliwa wakisaka huduma
Na Wycliffe Nyaberi WATU wenye jinsia mbili nchini wanataka mageuzi yatakayohakikisha uhuru wao na haki zao za kimsingi...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Jinsia: Kenya yaorodheshwa moja ya nchi 50 bora duniani
Na MARY WANGARI JUHUDI za Kenya za kuwezesha usawa wa kijinsia zimepigwa jeki huku ikiorodheshwa miongoni mwa mataifa makuu ulimwenguni...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Chama chalia wanaume wanaopigwa na wake zao wasaidiwe
NA JOSEPH WANGUI CHAMA cha Maendeleo ya Wanaume kimelia kwamba wanaume waliopo kwenye ndoa wanaendelea kupokezwa kipigo na wake zao,...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Wito afisi ya kijinsia ifufuliwe Baringo
NA GEOFFREY ONDIEKI Mwakilishi Mwanamke wa Kaunti ya Baringo Gladwell Cheruiyot ametoa wito kwa Inspekta mkuu wa polisi Hilary Mutyambai...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Siwezi kutetewa na wakili wa kike, mshukiwa aambia korti
Na RICHARD MUNGUTI MALUMBANO makali yalizuka Jumanne katika kesi ya mauaji ya wakili mtetezi wa haki za binadamu Willy Kimani pale mmoja...
- by adminleo
- June 20th, 2019
Aelezea sababu ya kujifanya muuguzi wa kike tangu 2009
Na TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye alikamatwa maajuzi katika hospitali ya Moi Teaching and Referral akijifanya muuguzi wa kike, amekiri...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Hoteli yafungwa kwa kuwatoza wanaume ‘ushuru wa jinsia’
MASHIRIKA Na PETER MBURU HOTELI moja ya Australia ambayo imekuwa ikitoza wanaume ‘ushuru wa jinsia ya uanaume’ kama mbinu ya kuleta...
- by adminleo
- March 7th, 2019
Wanawake nyota waliong’aa katika fani mbalimbali
NA LEONARD ONYANGO Huku ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, 2019, Taifa Leo Dijitali inaangazia wanawake sita...
- by adminleo
- February 27th, 2019
Mswada wa Jinsia wafeli mara ya nne mfululizo
Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumatano walikaidi vinara wa vyama vyao na kuangusha Mswada wa Jinsia kwa mara ya nne mfululizo. Kufeli...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Tutapendekeza wanawake watengewe 50% ya nafasi za uongozi – Waiguru
Na BERNARDINE MUTANU GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru Jumanne alisema viongozi wa kike watapendekeza kuondolewa kwa viti ‘maalum’...