Tag: jkia
Raia 100 wa kigeni wakamatwa kwa kuwa nchini bila kibali
Na MARY WAMBUI POLISI wamewakamata raia 100 wa kigeni kwa kuwa nchini kinyume cha sheria mwezi huu wa Machi pekee. Watu hao wamekamatwa...
Kampuni za ndege Afrika zakumbatia teknolojia ya paspoti za kidijitali kuokoa biashara
NA RICHARD MAOSI KAMPUNI za ndege za Afrika zimeanza kukumbatia teknolojia ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuwapa abiria paspoti za...
Kenya yasifiwa kutumia teknolojia kuzuia kuenea kwa corona JKIA
NA LEONARD ONYANGO UMOJA wa Afrika (AU) kupitia asasi yake ya kiafya ya Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) umeipongeza...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
Wabunge 11 wahojiwa kwa kuzuru Somalia kisiri
LEONARD ONYANGO na AMINA WAKO WABUNGE 11 kutoka eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya, Jumapili walinaswa na polisi mara tu baada ya...
- by adminleo
- April 17th, 2019
‘Bomu’ lavuruga shughuli JKIA
Na CHARLES WASONGA ABIRIA mmoja Jumatano alikamatwa na polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) kwa kueneza...
- by adminleo
- April 11th, 2019
KQ haina uwezo kutwaa usimamizi wa JKIA, bunge laambiwa
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege Nchini (KAA) imepinga mpango unaoendelea wa kuiwezesha Shirika la Ndege...
- by adminleo
- March 9th, 2019
Uhaba wa mafuta JKIA wapeleka ndege nchi jirani
Na GERALD ANDAE NDEGE ambazo huhudumu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) Alhamisi zililazimika kwenda katika...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Jeshi latwaa uwanja wa ndege Nairobi
Na VALENTINE OBARA JESHI la Taifa (KDF) lilichukua usimamizi wa usalama katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA)...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Mgomo watatiza shughuli JKIA
Na CHARLES WASONGA NDEGE ambazo zilikuwa zimepangiwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) Jumatano...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Mgomo wa wafanyakazi watatiza usafiri wa ndege JKIA
Na PETER MBURU WASAFIRI wa ndege Jumatano waliamkia kuhangaika katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) baada ya...
- by adminleo
- February 26th, 2019
Kamati ya bunge yafukuza maafisa kwa kukosa taarifa kuhusu KQ kutwaa JKIA
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya bunge kuhusu Uchukuzi imewafukuza maafisa kutoka kwa Wizara ya Uchukuzi, mashirika ya Kenya Airways (KQ) na...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Juhudi za JKIA kusimamia uwanja zakwama
Na BERNARDINE MUTANU WABUNGE wamekataa pendekezo la Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) kutwaa uwanja wa Ndege wa JKIA kwa kuungana...