• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Wanaonipuuza urais 2022 watashangaa – Joho

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho ametetea azma yake ya kuwania urais akisema hana mzaha kuhusu suala hilo. Bw Joho...

Joho na Kingi waongoza mipango ya kuhama ODM

Na MOHAMED AHMED MIPANGO ya viongozi wa kanda ya Pwani kujisimamia kisiasa inazidi kupamba moto huku ripoti zikionyesha kuwa kumekuwa na...

Joho ashauriwa kuhusu urais 2022

Na WINNIE ATIEO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho ametakiwa kuwapatanisha viongozi wote wa Pwani kabla hajatangaza azma yake ya kuwania...

Mbunge amtaka Joho ajiuzulu ODM

Na CHARLES LWANGA MBUNGE muasi wa Chama cha ODM, Bw Owen Baya amemtaka Gavana wa Mombasa, Hassan Joho ajiuzulu kama Naibu Kinara wa ODM...

Njama ya Joho, Kingi ‘kupiga chobo’ vinara wa Tangatanga

Na CHARLES LWANGA MIBABE wa chama cha ODM eneo la Pwani sasa wamepanga njama kuwapiku wafuasi wa Naibu Rais William Ruto eneo hilo,...

Matokeo ya uchaguzi mdogo Kwale yalivyowapa maadui wa Joho sauti

Na MOHAMED AHMED SIASA za uchaguzi mdogo wa Msambweni, Kwale uliofanyika mwezi uliopita, zilikuwa zimechukuliwa kama kipimo cha umaarufu...

Joho ataka Raila aunge Mpwani kuwania urais

STEPHEN ODUOR na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho ameeleza matumaini kwamba Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, ataunga mkono...

Shahbal aonekana kufaidika na siasa za kumrithi Joho

Na MOHAMED AHMED SIASA za urithi wa kiti cha Gavana wa Mombasa Hassan Joho zimeonekana kuchukua mkondo tofauti ambao unaonekana kumfaidi...

Ubunge kuokoa vigogo kisiasa

Na CHARLES WASONGA MAGAVANA ambao wanahudumu kwa muhula wa pili, na wa mwisho, watalazimika kuwania nyadhifa za ubunge katika uchaguzi...

Joho apata pigo huku wengi wakimuomboleza Hatimy

MOHAMED AHMED Na MISHI GONGO KIFO cha aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha ODM na diwani maalum wa Mombasa, Bw Mohammed Hatimy, kimeacha...

Kivumbi chaanza Joho akitua Msambweni

Na MOHAMED AHMED KIVUMBI kinatarajiwa katika uchaguzi mdogo wa Msambweni baada ya Gavana wa Mombasa, Hassan Joho na mwenzake wa Kwale,...

Joho kumenyana na Ruto Msambweni – ODM

Na JUSTUS OCHIENG CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kimesema kinyang’anyiro cha kiti cha ubunge cha Msambweni, Kaunti ya...