• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 2:18 PM

Junet amkataa Wanjigi

Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa uchaguzi katika ODM Junet Mohamed amesema kuwa hana habari kwamba mfanyabiashara Jimmi Wanjigi anasaka...

ODONGO: Wanaotaka Junet atupwe nje na Raila wana wivu tu

Na CECIL ODONGO BAADHI ya viongozi wa ODM kutoka eneo la Nyanza wanaongozwa na wivu na ukabila kwa kumtaka kinara wao Raila Odinga...

Junet ajiondolea lawama kuhusu matamshi yaliyomtia kikaangoni

Na SAMMY WAWERU MBUNGE wa Suna Mashariki, Junet Mohammed amejitetea vikali kufuatia matamshi yake yaliyojawa kejeli kuhusu safari ya...

Kura ya maamuzi kufanyika Julai, asema Junet

Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI mwenza wa sekritarieti ya BBI Junet Mohammed amedokeza kuwa kura ya maamuzi kuhusu Mswada wa BBI...

Wanasiasa wakerwa na matamshi ya Junet Mohamed

NA WANGU KANURI Matamshi ya mbunge wa Suna Mashariki, Junet Mohamed yakimsuta seneta Isaac Mwaura yaliibua gumzo katika mitandao ya...

Junet hatarini kunyakwa na EACC kwa ufisadi

BRIAN WASUNA na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Suna Mashariki, Bw Junet Mohammed, yumo hatarini kunyakwa na makachero wa Tume ya Maadili na...

Wabunge wajadili kuvunja Seneti

Na PETER MBURU VITA vya ubabe baina ya Bunge la Taifa na Seneti kuhusu lipi lina mamlaka zaidi, viliendelea bungeni Jumatano huku baadhi...

Junet: Ruto ni kama sisi, hajui lolote kuhusu muafaka, afyate ulimi

Na PETER MBURU WABUNGE wa upinzani wamemtaka naibu wa Rais William Ruto kukoma kumshambulia kiongozi wao Raila Odinga na kukosoa muafaka...