• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:58 PM

Juventus wakomoa Genoa na kupaa hadi nafasi ya tano Serie A

Na MASHIRIKA JUAN Cuadrado alifunga bao na kusaidia Juventus kupepeta Genoa 2-0 katika ushindi uliowapaisha hadi nafasi ya tano kwenye...

Juventus wajinyanyua ligini na kupepeta limbukeni Salernitana 2-0

Na MASHIRIKA JUVENTUS waliweka kando maruerue ya kupoteza mechi mbili mfululizo ligini na kuwapokeza Salernitana kichapo cha 2-0 ugenini...

Juventus wakomoa Zenit na kuingia 16-bora UEFA

Na MASHIRIKA JUVENTUS walipepeta Zenit St Petersburg ya Urusi 4-2 mnamo Jumanne usiku jijini Turin, Italia na kufuzu kwa hatua ya...

Juventus washuka hadi nafasi ya tisa kwenye Serie A baada ya kupoteza mechi ya nne ligini msimu huu

Na MASHIRIKA JUVENTUS walishuka hadi nafasi ya tisa kwenye msimamo wa jedwali la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada ya kupepetwa 2-1 na...

Juventus wakabwa koo na Verona katika Serie A

Na MASHIRIKA JUVENTUS walilazimishiwa na Hellas Verona sare ya 1-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A) iliyowakutanisha...

Ronaldo afungia Juventus mawili na kuendeleza masaibu ya Crotone mkiani mwa jedwali la Serie A

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga mabao mawili kupitia kichwa na kusaidia Juventus kunyanyasa Crotone wanaovuta mkia wa jedwali la...

Juventus yadengua Inter Milan na kuingia fainali ya Coppa Italia kwa msimu wa pili mfululizo

Na MASHIRIKA JUVENTUS walifuzu kwa fainali ya Coppa Italia msimu huu kwa jumla ya mabao 2-1 kutokana na mchuano wa mkondo wa kwanza...

Ratiba ngumu kwa Juventus mnamo Januari 2021. Je, watajinyanyua?

Na MASHIRIKA JUVENTUS wanakabiliwa na kibarua kizito cha kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mara ya 10 mfululizo...

Allegri akataa ofa ya kudhibiti mikoba ya Borussia Dortmund

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa zamani wa Juventus, Massimiliano Allegri, amekataa ofa ya kudhibiti mikoba ya Borussia Dortmund ya Ujerumani...

Beki Arthur Melo kuelekea Juventus huku Miralem Pjanic akitarajiwa kutua Camp Nou

Na CHRIS ADUNGO JUVENTUS wameafikiana na Barcelona kuhusu kumsajili kiungo Arthur Melo mwishoni mwa msimu huu. Nyota huyo mzawa wa...

MZEE NI WEWE! Kipa Gianluigi Buffon atia saini mkataba mpya wa miaka mitatu Juventus

Na CHRIS ADUNGO GOLIKIPA mkongwe wa Juventus, Gianluigi Buffon ametia saini mkataba mpya wa miaka mitatu na miamba hao wa soka ya...

Ronaldo acheka na nyavu na kusaidia Juventus kurejelea Serie A kwa kishindo

Na CHRIS ADUNGO CRISTIANO Ronaldo alifunga bao na kusaidia Juventus kurejelea kampeni za Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa ushindi wa 2-0...