• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

KENNEDY OSORE: Soka inavyokuza maadili katika jamii

NA PATRICK KILAVUKA Ni vyema mja kupanda mbegu ambayo itazaa kwa vizazi hadi vizazi. Huo ni ushauri na ushawishi uliomsukuma kocha...

Kangemi Allstars yashindwa kutamba ugenini

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kangemi Allstars iliona giza ilipocharazwa mabao 3-2 na Nairobi Stima kwenye mechi ya kupigania ubingwa wa Supa...

KAHUHO TITANS: Timu iliyostawishwa kwa utu Kabete

Na PATRICK KILAVUKA UTU ndio ulikuwa msingi na sababu cha timu ya Kahuho Titans kutoka Kahuho, kaunti ndogo ya Kabete, Kaunti ya Kiambu...

Rafael Varane wa Kangemi anayetamani kuisakatia Chelsea

Na PATRICK KILAVUKA KUWA mwanasoka mtajika kunahitaji kujitolea mhanga maanake usipomakinika utasababisha masihara  na timu yako kuwa...

PATRICK OTIENDE: Straika wa Kangemi anayepania kufikia weledi wa Aubameyang

Na PATRICK KILAVUKA KUWA na imani na kujiamini kwamba kutumia kipawa cha miguu yake kinaweza kumfikisha katika upeo wa kisoka, kulikuwa...

Mashakani kwa kuiba nduma za Sh14,000 Kangemi

Na Benson Matheka MWANAMKE alishtakiwa Jumanne kwa kuiba nduma za thamani ya Sh14,000 katika soko la Kangemi jijini Nairobi na kisha...