• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

Mbunge ahimiza wazazi wajitahidi kulipa karo shuleni

Na ALEX KALAMA MBUNGE wa Kaloleni, Bw Paul Katana, amewaomba wazazi wajitahidi kulipia wana wao karo za shule, licha ya kuathiriwa...

Karo: Magoha ataka watoto wafukuzwe

DAVID MUCHUNGUH na SIMON CIURI WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, jana aliwapa maagizo walimu wakuu kuwafukuza wanafunzi ambao wana...

Wanafunzi wa wazazi wasio na karo wasifukuzwe shuleni – Serikali

MWANGI MUIRURI na DIANA MUTHEU SERIKALI imetangaza kwamba itawachukulia hatua walimu ambao watafukuza watoto shuleni kwa kukosa karo au...

Mahakama yaagiza SABIS® International ipunguze karo kwa asilimia 20

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imeamuru shule moja ya mmiliki binafsi ipunguze karo ya shule kwa asilimia 20. Jaji James Makau...

Magoha ashauri wazazi warudishiwe karo

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, ameshauri wasimamizi wa shule kurudishia wazazi karo endapo walikuwa wamelipia...

Lipeni karo hata kama shule zimefungwa – Serikali

Na BENSON MATHEKA WAZIRI wa Elimu Profesa George Magoha ametaka wazazi ambao watoto wao wanasoma katika shule za kibinafsi waendelee...

Mshtuko kwa wazazi baada ya karo kupanda

Na FAITH NYAMAI WAZAZI wanakabiliwa na mshtuko kuhusu nyongeza ya karo ya shule huku shule zikifunguliwa kwa muhula wa kwanza. Licha...

Walimu wakuu waonywa vikali dhidi ya kuongeza karo Januari

Na Kalume Kazungu WALIMU wakuu wa shule za sekondari Ukanda wa Pwani wameonywa vikali dhidi ya kuongeza kiwango cha karo msimu huu...

Atemwa na demu kwa kutomlipia karo

Na JOHN MUSYOKI MUKONDE, MAKUENI MWANADADA mmoja kutoka hapa aliwashangaza wenzake alipomtema mpenzi wake kwa kukataa kumlipia...

FUJO JIJINI: Tutaandamana kupinga vyuo kuongeza karo – Babu Owino

Na CHARLES WASONGA HUENDA fujo zikashuhudiwa katikati wa jiji la Nairobi na nje ya majengo ya Mahakama ya Milimani Mbunge wa Embakasi...

Serikali ya Lamu yaacha wanafunzi kwenye mataa

Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wanafunzi 200 wa shule za sekondari kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelazimika...

Mama ajiua kwa kukosa karo ya mwanawe

Na BONIFACE MWANIKI MWANAMKE wa miaka 37 alijitia kitanzi Jumatano asubuhi katika Kaunti ya Kitui baada ya kukosa karo ya kumpeleka...