Tag: katiba
- by adminleo
- June 16th, 2019
JAMVI: Rais katika njia panda kuhusu kura ya maamuzi
Na MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta yuko katika njia-panda kuhusu kura ya maamuzi ya marekebisho ya katiba huku mirengo miwili mikuu...
- by adminleo
- June 16th, 2019
JAMVI: Huenda Ekuru Aukot ni mradi wa serikali kuhusu kura ya maamuzi
Na CHARLES WASONGA MJADALA kuhusu mageuzi ya Katiba kupitia kura ya maamuzi sasa umechukua msukumo mpya kufuatia hatua ya Kiongozi wa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Viongozi wa ODM waasi Raila kuhusu suala la referenda
Na RUSHDIE OUDIA na LEONARD ONYANGO BAADHI ya viongozi wa ODM wameenda kinyume na kinara wao Raila Odinga kuhusu pendekezo lake la...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Joho na Balala waunga mkono marekebisho ya katiba
Na MOHAMED AHMED VIONGOZI wa eneo la Pwani Jumanne waliunga mkono kura ya maamuzi ili kuwezesha kubuniwa kwa serikali inayoshirikisha...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Jubilee ni kisiki katika utekelezaji katiba – Maraga
Na VALENTINE OBARA JAJI Mkuu David Maraga, amelaumu Serikali ya Jubilee kwa kuhujumu juhudi za utekelezaji wa katiba iliyopitishwa mwaka...
- by adminleo
- June 5th, 2019
ONYANGO: Sura ya 6 ya katiba kuhusu maadili haina maana, iondolewe
Na LEONARD ONYANGO KATIBA ya Kenya ilipopitishwa mnamo 2010 ilimiminiwa sifa tele huku ikitajwa kuwa bora zaidi barani Afrika na...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Handisheki haina maana bila mageuzi ya katiba – ODM
Na RUTH MBULA VIONGOZI wa Chama cha ODM wamewapa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wao Bw Raila Odinga makataa ya hadi Machi 2020 kuandaa...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Raila ajiandaa kupigia debe kura ya maamuzi
Na BENSON AMADALA KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga anajiandaa kuanza msururu wa kampeni kuhimiza wafuasi wake katika eneo la Magharibi,...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Wataalamu wataka marekebisho kabla ya 2022
Na RUSHDIE OUDIA WATAALAMU katika fani mbalimbali wametaja ufisadi, gharama ya juu ya kuendesha uchaguzi na usimamizi mbaya kama baadhi...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Mashirika yataka Wakenya wahusishwe kubadili Katiba
NA CECIL ODONGO VIONGOZI wa Mashirika ya Kijamii (NCSC) Jumapili waliwataka Wakenya kushirikishwa vilivyo kwenye mjadala unaoendelea wa...
- by adminleo
- March 10th, 2019
JAMVI: Hofu kuwa katiba inayopendekezwa itakuwa ghali zaidi
Na LEONARD ONYANGO KATIBA mpya inayopendekezwa huenda ikawa ghali zaidi kutekelezwa kuliko Katiba ya 2010. Wanaunga mkono...
- by adminleo
- February 19th, 2019
Wabunge wapendekeza Seneti iondolewe kwa katiba
NA FRANCIS MUREITHI WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Nakuru wameapa kuwaongoza wananchi waliowachagua kufutilia mbali uwepo Bunge la...