• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

KIPWANI: Katoi wa Tabaka alivyosalia na ‘baby face’

NA SINDA MATIKO WAPO watu waliojaliwa neema ya kusalia na nyuso za kitoto hata umri uwasonge vipi. Mmoja wao ni Katoi wa Tabaka. Mara...

KIPWANI: Kabisha majuzi tu tena kwa mshindo

NA SINDA MATIKO KUTOKA Kaunti ya Kilifi, kuna binti wa miaka 20 anayekuja kwa staili tofauti kabisa. Kila unaposkiza muziki wa Nasha...

KIPWANI: Toto la Kitaita lateka anga ya uigizaji

NA SINDA MATIKO INAWEZEKANA umewahi kupitia kwenye kibanda chake ukajipatia kinywaji kitulizo ili kupunguza makali ya kiu kutokana na...

KIPWANI: Baada ya mishemishe Nairobi, amerejea nyumbani Mombasa

NA SINDA MATIKO MASHARIKI au Magharabi, Kusini au Kaskazini nyumbani ni nyumbani tu. Mwaka 2021 mwigizaji msupa Brenda Wairimu...

KIPWANI: Kipaji chake gumzo mtaani

NA KALUME KAZUNGU “MARA nyingi mimi hutumia kipawa changu cha kuimba kuwafundisha wanafunzi wangu darasani. Ajabu ni kwamba mbinu hiyo...

KIPWANI: Dogo anayetikisa visiwa vya Lamu

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KUNA dhana kuwa wasanii wa kiume wakioa umaarufu wao hupungua hasa kutokana na kushindwa kutangamana na mashabiki...

KIPWANI: Lil Mizze ataka wasanii Pwani washirikiane kufanya eneo zima kitovu cha talanta

Na ABDULRAHMAN SHERIFF ANA imani kubwa atafika mbali kimuziki hasa kwa kuwa hivi sasa yuko chini ya menejimenti ya Dkt Giuseppe...

KIPWANI: Ana kiu ya kufanya kolabo na wasanii wa haiba ya juu

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KAMA wanavyopenda wasanii wengine wanaoinukia, naye pia ana kiu na hamu ya kufanya kolabo na wasanii wenye majina...

KIPWANI: Princess Cathy aamini kufanya shoo mataifa ya kigeni humzolea msanii sifa

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KUNA umuhimu kwa wanamuziki kufanya ziara ya kutembelea sehemu mbalimbali nje ya nchi wanayoishi ili waweze...

KIPWANI: Msanii Best Boomer

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KWA msanii kuendeleza kipaji chake, anahitajika kuzunguka sehemu ambazo zinaweza kumuongezea soko lake hasa...

KIPWANI: Malkia wa Kimaasai aliyetokea Bongo Star Search

Na ABDULRAHMAN SHERIFF ALIKUWA mmoja wa wasanii waliokuwa tishio kwenye mashindano ya kila mwaka ya Bongo Star Search, ila baadaye...

KIPWANI: Aliota akiwa msanii sasa ndoto imetimia

Na ABDULRAHMAN SHERIFF ALIOTA akiwa mwimbaji na sasa imetimia. Tarsila Rogert al-maarufu Joe Mosha anasema alipenda kuimba tangu...