• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 11:28 AM

Mahrez anyakua king’asti mwingine baada ya talaka

Na GEOFFREY ANENE RIYAD Mahrez ametema mke wake Rita Johal na bila kupoteza hata sekunde amejinyakulia mwanafunzi wa fasheni Taylor...

Kisura aponea kipigo kuuza mbuzi ya mume aponde raha

 Na JOHN MUSYOKI MAIUNI, MATUU MWANADADA mmoja kutoka hapa alijipata pabaya majirani walipomkemea kwa kuuza mbuzi wa mume wake na...

Kisura taabani kumtandika mumewe kila siku

Na TOBBIE WEKESA Tulienge, Bungoma Kipusa mmoja wa eneo hili alijipata pabaya baada ya wazee wa ukoo kumuonya vikali dhidi ya...

Kisura atolewa uzuzu na mama ya kalameni

Na TOBBIE WEKESA Kiomo, Kitui Kalameni mmoja kutoka eneo hili alijipata pabaya baada ya mama yake kumkemea vikali kwa kumhadaa kipusa...

Jombi ampokonya demu TV kwa kugawa asali nje

Na TOBBIE WEKESA MWIKI, NAIROBI Kioja kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya polo kugundua kwamba mpenzi wake alikuwa...

Demu ararulia polo long’i akisaka hela

Na JOHN MUSYOKI KOSOVO, MACHAKOS KIZAAZAA kilizuka katika kilabu kimoja sehemu hii kidosho alipoangushiwa makofi na wateja kwa...

Kalameni atwangwa kama nyoka kufumaniwa na kisura wa sponsa

Na SAMMY WAWERU Zimmerman, Nairobi POLO mmoja mtaani hapa, anauguza majeraha baada ya kulishwa kichapo kikali kwa kufumaniwa kwa...

Kidume mkono gamu amhepa kisura wake dukani

 Na TOBBIE WEKESA  ROYSAMBU, NAIROBI Mrembo mmoja alitamani ardhi ipasuke immeze kuepuka aibu aliyopata katika supamarket moja...

Mapolo wakabana koo wakipigania kisura

Na TOBBIE WEKESA KANGEMA, MURANG'A KALAMENI mmoja aliwashangaza wengi eneo hili baada ya kumshambulia rafiki yake akimlaumu kwa...